Pole kwa uliyopitia,lakini mshukuru Mungu wako kwani atakuwa amekuepushia balaa kubwa zaidi. Anza kujipanga upya na utafanikiwa tu.
Karibu na naamini umepata la kujifunza hapo
Bonge la darasa..thnx. kaka.
,kuu pole sana na yaliyokupata amini ndio mitihani ya maisha , ila elewa hakuna mapenzi ya mbali .... cha msingi mshukuru mungu kwa kukuepusha na ajali hiyo na kaa chini utulize mawazo jipange kivyako kimaisha haya mambo ya mali ni ya kupita wewe ni mwanaume ni mpiganaji jipange upya na kama umeandikiwa moja utapata kama ni mbili utapata
Mwanamke yeyote ambae sio mkeo wa ndoa
ni risk ambayo una take kama mwanaume,kupata au kukosa ni matokeo.....
Kwanza unapaswa kushukuru umemjua kabla hujamuoa......
Halafu zawadi ukishampa mtu ,hasa kwenye mapenzi,sio vizuri kudai.....hata kama gari....
Asante mkuu.. ila hapo kusema hakuna mapenzi ya mbali.?????? Labda ni tafsiri ya kizazi chetu hiki kilichojaa uchakachuliwaji.. anyways, namshukuru Mungu kwa yote..
Ndugu Mtoa Mada.
Mawazo yote uliyopewa humu ni ya maana sana.
Mshukuru Mungu, huyo dada kaonesha tabia hizo kabla hamjaoana. Mabadiliko uliyoyaona ilikuwa ni Mpango wa Mungu wa kukuokoa ili usikumbane na dhahama ya badiliko la tabia wakati mkiwa tayari kwenye ndoa. Hilo lingekuumiza sana, na labda kupata mental breakdown. Una bahati sana Ndugu yangu. Shukuru kila siku kwa hilo kwani ni bora kumshtukia mchumba asiye Mwaminifu kuliko Mke wa ndoa asiye Mwaminifu. Zingatia (kama wewe ni Mkristo) ndoa haivunjwi kirahisi.
Jambo jingine; wewe ni kijana unayeonekana kuwa mwenye Elimu nzuri na umri wa kadiri. Ukijaaliwa kupata kazi, ni kipindi kifupi sana utarejesha unavyohisi umepoteza.
Jitahidi kutokuwa Mwenyewe. Kaa kwny vikundi. Badilishana mawazo na watu mbalimbali. Kamwe usikae mwenyewe, ni hatari. Jihadhari SANA na ulevi wa aina yoyote. Sikushauri ujiingize kwny mahusiano mapya ya kimapenzi. Kuna hatari ukaangukia pabaya. Subiri kidogo.
Natamani ningekuona lkn
Zingatia hayo kwanza.
msichana najichana hivo we bado unamkumbuka pamoja na ajali mbaya yote hiyo uliyopata na huwezi jua labda mchawi alitaka ufe, pole sana jipe muda utapona maumivu na kupata msichana wa ndoto zako, mpaka ilipofikia huyo msichana wala ha deserve kuwa na wewe kabisa, gari kitu gani, mwachie tu kaka angu
kabisa, na jichanganye na marafiki zako usikae peke yako kukumbukia machunguThanx dada..hopefully will recover completely soon..!
kabisa, na jichanganye na marafiki zako usikae peke yako kukumbukia machungu
ila pia si kila mtu atakuwa msaada kwako jaribu kuwa mchaguzi sana wa marafiki
ila pia si kila mtu atakuwa msaada kwako jaribu kuwa mchaguzi sana wa marafiki
Bonge la darasa..thnx. kaka.
Ila be careful na friends maana utakuja kulia bure siku moja hapa maana wanafiki ni wengi sana
BPM sijui kile kitufe cha thanks walikipeleka wapi
Huwa sometime nasema may be mimi ndo nafanya wrong choice au nini
Maana marafiki ni pasua kichwa nowadays hakuna tena wale marafiki walikuwa wanasema tuchanjiane damu au walio radhi kusema chako ni changu na chako ni changu
Siku hizi ni chako ni changu na changu ni changu na unafiki mwingi
Truly! Nimeshaanza kulifanyia kazi jambo hili. Tnx