Msaada wa ushauri: Nimekosea kulipia control ya malipo ya mwanafunzi wa Chuo cha CBE

Msaada wa ushauri: Nimekosea kulipia control ya malipo ya mwanafunzi wa Chuo cha CBE

Hata title yako inaonesha hauko makini kwenye utendaji wako wa mambo. Yaan umekoseaje?! 🤔🤔🤔 ile nambari ya malipo uliyoipata mtandaoni ulishindwa kuinakili mojamoja kwa umakini mpaka ukakosea?! 😳 vocha inakuaje?!

Okay!... Umeshindwa hata kutuliza akili ukaandika kichwa cha mada vizuri kwa kutulia chenye kueleweka?! Humohumo umechanganya spelling za kituruki, kifaransa na kireno! Vijana mna kazi sana! 😔
Usilete utani kwenye mada serious!
Cha msingi ni mawasiliano/kufikisha ujumbe
 
Hata title yako inaonesha hauko makini kwenye utendaji wako wa mambo. Yaan umekoseaje?! 🤔🤔🤔 ile nambari ya malipo uliyoipata mtandaoni ulishindwa kuinakili mojamoja kwa umakini mpaka ukakosea?! 😳 vocha inakuaje?!

Okay!... Umeshindwa hata kutuliza akili ukaandika kichwa cha mada vizuri kwa kutulia chenye kueleweka?! Humohumo umechanganya spelling za kituruki, kifaransa na kireno! Vijana mna kazi sana! 😔
Kiongozi, nafikiri ungemshauri kwanza kisha umkosoe kwa upole endapo utajiridhisha kuwa ukosoaji wako unaweza kumsaidia.

Naamini tunatofautiana uwezo, staili, n.k. katika mambo mbali mbali, ukiwemo uandishi. Unaweza ukaona uandishi wa mtu fulani ni mbovu mno, lakini ingelikuwa unamfahamu, huenda, kwa uandishi huo huo unaoukosoa, ungempongeza kwa kumpa zawadi.

Mdau anatafuta msaada. Maadam kaeleweka, inatosha. Hayo mengine ya namna ya uandishi si muhimu sana kulingana na mada ya mtoa mada.
 
Kama ameshalipa huyu alielipiwa? Fikilia kisha utoe jibu ambalo halitazalisha swali

Kwanini nifikirie zaidi ya ushauri uliolenga 'uwezekano' na sio hitimisho?

Kwa kuwa wote ni chuo kimoja nilidhani ni rahisi kuwa wanafahamiana, hivyo uwezekano wa wao kuonana upo…. hivyo ushauri wangu ni ikiwa tu 'factors' zingine zote ni constant.

Hata hivyo, hivi control number moja inaweza kulipiwa zaidi ya mara moja?
 
Naomba tupate mrejesho kama umefanikiwa, umetumia ushauri upi?
 
hili jambo ni gumu kutokea ujue zile namba kuzikosea kisha ukazipatia kwa mtu mwingie na kukubali kwa kiwango hichohicho cha pesa ni HAPANA.huyo alikua anajua anachofanyas

Kwanini nifikirie zaidi ya ushauri uliolenga 'uwezekano' na sio hitimisho?

Kwa kuwa wote ni chuo kimoja nilidhani ni rahisi kuwa wanafahamiana, hivyo uwezekano wa wao kuonana upo…. hivyo ushauri wangu ni ikiwa tu 'factors' zingine zote ni constant.

Hata hivyo, hivi control number moja inaweza kulipiwa zaidi ya mara moja?
Yah control namba za chuo huwa zinadumu katika kipindi Cha mwaka mmoja let's mwànafunzi kapewa namba yenye bill ya 1m atakua anailipa kidogo kidogo
 
Yah control namba za chuo huwa zinadumu katika kipindi Cha mwaka mmoja let's mwànafunzi kapewa namba yenye bill ya 1m atakua anailipa kidogo kidogo
ndio kakudanganya hivyo sasa wacha nikwambie jambo CN inadumu kwa wiki1 mara nyingi na hailipiwi kidogokidogo kamwe,na hata ukipunguza shilingi moja inakataa kulipa pia ukiongeza hata senti inakataa kulipa
 
ndio kakudanganya hivyo sasa wacha nikwambie jambo CN inadumu kwa wiki1 mara nyingi na hailipiwi kidogokidogo kamwe,na hata ukipunguza shilingi moja inakataa kulipa pia ukiongeza hata senti inakataa kulipa
Njoo DM nikuonyeshe mkuu
 
ndio kakudanganya hivyo sasa wacha nikwambie jambo CN inadumu kwa wiki1 mara nyingi na hailipiwi kidogokidogo kamwe,na hata ukipunguza shilingi moja inakataa kulipa pia ukiongeza hata senti inakataa kulipa

Ficha huu ujuaji wako Dr.

CN inapokuwa generated kuna options iwe valid kwa siku ngapi na pia terms of payment iwe full au partial…. hii yote hutegemea lengo na aina ya malipo.
 
Ficha huu ujuaji wako Dr.

CN inapokuwa generated kuna options iwe valid kwa siku ngapi na pia terms of payment iwe full au partial…. hii yote hutegemea lengo na aina ya malipo.
nimesema mara nyingi na si lazima umeelewa nilicho andika,pia tunazungumzia malipo ya chuo niambie ni chuo gani kinapokea malipo ya mwaka mzima yani ufanye mitiani ya UE au end of semester bila kumaliza malipo ya ada ya muhula husika
 
Mkuu kwani kumkosoa mtu anaeomba ushauri mpaka utumie lugha kali????? Na pia unajua watoto wetu wanaingia vyuo wakiwa na miaka mingapi?????? Pia alieleta uzi huu ni wakala sio mwanafunzi..!!!Hoja au swali linajibiwa kiungwana na sio kwa lugha kali au za kejeli,ndio watu wazima tunavyofanya.
Ni kweli Kamanda... mpaka wewe umenielekeza mwanangu, ni kweli NIMEKOSEA! 👍🏾🙏🏾
 
System ya Control number iko so randomly, ukikosea inakataa kwa maana lazima ikupe na jina la anayelipa hiyo huduma. Imekuwaje huyo amekosea? Sema amekosea registration number ya Mwanafunzi naweza kukuelewa.

Malipo kwa Control namba haileti jina mwanzoni bali inaleta jina la mpokeaji kwenye meseji ya receipt. Ukikosea namba tu huwezi kugundua kabla hujatuma bali mpaka hela ipokelewe kwanza
 
ndio kakudanganya hivyo sasa wacha nikwambie jambo CN inadumu kwa wiki1 mara nyingi na hailipiwi kidogokidogo kamwe,na hata ukipunguza shilingi moja inakataa kulipa pia ukiongeza hata senti inakataa kulipa

Sio control namba zote hazilipiwi kidogo kidogo.

Control namba za ada chuo zinaruhusu kulipia kidogo kidogo.

Pia control namba za bill za maji dawasco pia zinaruhusu kulipia kidogo kidogo. Hazina kiwango maalumu cha kulipia. Hata kama unadaiwa laki moja. Ukilipa elfu kumi control namba inapokea na kukwambia una deni limebaki elfu tisini
 
Hata title yako inaonesha hauko makini kwenye utendaji wako wa mambo. Yaan umekoseaje?! [emoji848][emoji848][emoji848] ile nambari ya malipo uliyoipata mtandaoni ulishindwa kuinakili mojamoja kwa umakini mpaka ukakosea?! [emoji15] vocha inakuaje?!

Okay!... Umeshindwa hata kutuliza akili ukaandika kichwa cha mada vizuri kwa kutulia chenye kueleweka?! Humohumo umechanganya spelling za kituruki, kifaransa na kireno! Vijana mna kazi sana! [emoji17]
Hopeless

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom