Hapo kwenye red umenichanganya mkuu, sijakufahamu kabisaMkuu ukiwa huna uhakika na jambo ni vizuri sana ukanyamaza, I mean ukae kimya, hii ni busara zaidi, ikiwa unachoongea ni kweli sidhani kama production ya haya magari ingeendelea.
Tuwe makini sana.
magari ambayo hayakufanya vizuri sokoni au yalikuwa na tatizo flani mara nyingi wanastopisha production. i.e brevis, starlet, verosa, mark11, chaser, etc.Hapo kwenye red umenichanganya mkuu, sijakufahamu kabisa
Kwa bajeti hiyo magari haya yatakufaa
-Rav 4
-Nissan Murano
-Kruger
-Harrier
-SUV NDOGO yoyote
Tena tafuta hapa hapa Bongo maana kuagiza hizo gari zitakugharimu zaidi
Sawa mkuu, but tatizo gari moja usi generalize kwa gari zote mkuu.renyo unavyosema ushawauzia sana discovery 4 na hawajaja kulalamika kwani inamaana gari zao zikisumbua ni lazima waje kwako .....waliotengeneza gari wanajua kuwa wamekosea ni kama nissan extrail generation ya kwanza hizi gari matatizo ya umeme sana na nissan walijua wakarekebisha to the next model ila ww unabisha ...kuna wauzaji na watumiaji ndugu
Huwez pta harrier,murano au kluger kW 16 m toka yard labda used toka MTU binafsi tena yenye registration ya C kurud nyuma.Kama unaweza nunua Kluger yenye 4 cylinder ni gar ngum sana na mafuta sio kivile ila ukijichanganya ukanunua yenye 6 cylinder utajuta inavyomeza wese.Ukiwa na 23 m unapata yardNi yard gani hapa daslam wanakouza Harrier, Murano na Kluger Tsh 16m?
Usinunue ww,litakufia hiloMkuu are you serious?? Discovery 4 kwa Mil 24??? That is my dream car. Umelitumia muda gani na consuption yake plus spare parts ikoje?
Nipe uzoefu wako kuhusu Discovery mkuu nmekua natumia sana Kluger but I wish kuibadil sasaOngeza milioni nane nikuachie Discovery 4. Ni nzuri utafurahia achana na toyota family.nimeacha kutumia toyota miaka minne iliyopita so nakushauri chukua magari ambayo watu wanayaogopa.
kuhusu fuel consumption inategemea na mahali unapoend kufanya shughuli zako na foleni.
Ungeweza angalia pia na Audi kama hutapendelea Discovery.
B,R
Weka number yako hapa nkutumie my phone number ili uniunge kweny hyo groupNiko hapa mkuu kwa magari bora na bei ya kitanzania.
Karibu Autocom Japan Inc
au pia waeza jiunga na group yangu katika whatsap amabyo nawapa ushauri watu na mambo mengine kuhusu magari,
Link Autocom Japan Inc
Hizo hela zote wasaidie wagonjwa mahospitalini,,wasaidie vilema na wenye maisha magumu,,,..hakika utauona ufalme wa mbinguniWakuu bajeti niliotenga ni 16M nataka kuvuta usafiri, nahitaji msaada wa ushauri ni gari gani naweza kununua ambayo ina sifa hizi hapa nlizoanisha:-
-Haili sana mafuta ambayo unaweza kuiita economy.
- Gari ngumu ambayo inaweza kuhimili shurba za mara kwa mara kwasababu barabara ninayotumia ni rough road na yenye makorongo ya hapa na pale.
-Upatikanaji wake wa spea kwa hapa tanzania uwe ni wa uhakika.
Nawasilisha.
Autocom Japan IncWeka number yako hapa nkutumie my phone number ili uniunge kweny hyo group
Na kama amezipata baada ya kuwasaidia hao watu? nyie walokole wasumbufu sanaHizo hela zote wasaidie wagonjwa mahospitalini,,wasaidie vilema na wenye maisha magumu,,,..hakika utauona ufalme wa mbinguni
Suzuk vitara utakubali maisha mpaka mjukuu afu kamekaa kifamilia
Usinunue ww,litakufia hilo