jumla sh ngapi ..19m au 29M maana generation ya pili 25 mkononiBE FORWARD : 1992 TOYOTA Land Cruiser Prado
Mkuu, hii mpaka unazeeka nayo. Sehemu yeyote nchini unafika. Ushuru wake kwa bandari ni milioni kumi. So kama unaweza kujichanga zikafika m19 chukua hii...
19jumla sh ngapi ..19m au 29M maana generation ya pili 25 mkononi
Ulinunua sh ngapi double cabin hiluxNachoongea nina uhakika nacho mkuu, nilimiliki defender ilinisumbua sana muda wote nilikuwa mtu wa garage, haya magari hata spare zake zipo juu...niliiuza nikanunua hilux double cabin ukweli nimepata pumziko hivi sasa la kwenda garage. Samahani km nimekukwaza mkuu lkn lazima nishuhudie kilichonitokea badala ya kumwacha huyu ndg mwenye 16m yake kaidunduliza kwa shida kisha akanunue gari ambalo kwake litamgharimu kiuendeshaji.
Ingekuwa kula na kutafuna waweza ajiri mtu wa kukufanyia, wengi wangeajiri watu kwa ajili ya kuwalia, kuwatafunia na kuwamezea, ili wao wapumzike mustarehe.Jamani mimi inaonekani ninapitwa sana na vitu. hivi ninani alie tuahidi Noah? maana nasikia tu hapa
Zikojeyoooote nunua lakini Xtrail haaaaaaaapanaaaaaaa ndugu
Hakuna. Ndio maana nimemwambia ni juu ya ishirini. Japo kwa kuagiza harrier atapata chini ya 20mil.
Mkuu are you serious?? Discovery 4 kwa Mil 24??? That is my dream car. Umelitumia muda gani na consuption yake plus spare parts ikoje?
hela za makinikia si zipo?Hizo hela zote wasaidie wagonjwa mahospitalini,,wasaidie vilema na wenye maisha magumu,,,..hakika utauona ufalme wa mbinguni
Nunua Subarru Forrester za 2004-2007 au toyota voltz!Kwa bajeti hiyo magari haya yatakufaa
-Rav 4
-Nissan Murano
-Kruger
-Harrier
-SUV NDOGO yoyote
Tena tafuta hapa hapa Bongo maana kuagiza hizo gari zitakugharimu zaidi
Hizo mileage mkuu!Hello mkuu, kwanza kabisa hongera kwa kufikia uamuzi wa kuvuta usafiri,
mimi nafanya kazi autocom japan , kampuni ya kuagiza magari kutoka japan kuja tanzania.
Makao makuu yapo Japan ,Na offisi zetu kwa hapa tanzania, zipo Jengo la Quality center shopping mall Mtava, Along nyerere road.
Sisi tuna magari mazuri yenye ubora na bei ni nzuri kabisa.
kwa ushauri wangu ingekuwa kutokana na bajeti yako ingekuwa vyema ungechukua kati ya hizi gari 2,
Toyota rav4,
Year 1996
Cc 1990
Mileage 113000km
Gharama kamili 15.8m
Toyota harrier 2002
Cc 2360
Mileage 154000km
Gharama kamili 17m,
Otherwise itabidi uende kwa xtrail.
This will be the best options for ua budget.
Also waeza kutembelea kwa maongezi na ushauri zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]subiria noah mkuu, hyo bajeti kanunue kiwanja
Ongeza kidogo hapo nakuagizia harrier safi kabisa..Gari za bongo bwana binafsi nimekoma"ikifika17"mm ňakuletea gari uaze ww kutumia kwahapa bongo.0755229028Wakuu bajeti niliotenga ni 16M nataka kuvuta usafiri, nahitaji msaada wa ushauri ni gari gani naweza kununua ambayo ina sifa hizi hapa nlizoanisha:-
-Haili sana mafuta ambayo unaweza kuiita economy.
- Gari ngumu ambayo inaweza kuhimili shurba za mara kwa mara kwasababu barabara ninayotumia ni rough road na yenye makorongo ya hapa na pale.
-Upatikanaji wake wa spea kwa hapa tanzania uwe ni wa uhakika.
Nawasilisha.
Hello mkuu, kwanza kabisa hongera kwa kufikia uamuzi wa kuvuta usafiri,
mimi nafanya kazi autocom japan , kampuni ya kuagiza magari kutoka japan kuja tanzania.
Makao makuu yapo Japan ,Na offisi zetu kwa hapa tanzania, zipo Jengo la Quality center shopping mall Mtava, Along nyerere road.
Sisi tuna magari mazuri yenye ubora na bei ni nzuri kabisa.
kwa ushauri wangu ingekuwa kutokana na bajeti yako ingekuwa vyema ungechukua kati ya hizi gari 2,
Toyota rav4,
Year 1996
Cc 1990
Mileage 113000km
Gharama kamili 15.8m
Toyota harrier 2002
Cc 2360
Mileage 154000km
Gharama kamili 17m,
Otherwise itabidi uende kwa xtrail.
This will be the best options for ua budget.
Also waeza kutembelea kwa maongezi na ushauri zaidi.
Pumba zinginieIngekuwa kula na kutafuna waweza ajiri mtu wa kukufanyia, wengi wangeajiri watu kwa ajili ya kuwalia, kuwatafunia na kuwamezea, ili wao wapumzike mustarehe.
Lakini kuna mambo mengine hauwezi ajiri mtu, lazima wewe mwenyewe uhusike.
Sasa hili la Noah, usiajiri mtu akutafunie, tafuna mwenyewe, ili kila mtu akuone unavyokula na unavyoweza kumeza wewe mwenyewe.
kama wewe ni mtanganyika kama mimi najua unapata hapa bongo (locally uesd) ola kama mdosi unaagiza kwa uwezo wako, ndomana nkasema "usiagize"Mkuu kluger na Murano kwa 16m??