Msaada Wa Ushauri: Supervisor wangu ni kilaza

Ona sasa uko kijijini
 

Vichwa maji hapa JF utawaponza hii falsafa yako.
 
Wanawake hawafai kufanya kazi sema shetani tu anaingilia kati.
 
Wanasema ukimvunjia mwanamke heshima huwa anajistukia na kujisikia mnyonge badala ya kukuchukia. Alafu hata ukimvunjia heshima kutokana na ujinga wake wewe kuwa kauzu tu mwenyewe tu anakosa amani badala ya wewe
 
Hata kwenye customer care wanawake wengi wanazingua sana. Nadhani kuna vitu huwa vipo kichwani mwao
 
Kwanini mkuu Mgeni wa Jiji ukivaa pete ya ndoa inawaondolea kujikweza wanawake?
 
Pigo hilo! Linaitwa Upper Cut ila sisi wabongo tunasema Amba Kati.


Ngumi inaanzia toka chini kuelekea juu mpka kwenye Kidevu cha Adui.

TULIOCHEZA BOXING TUNAJUA MAUMIVU YAKE.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
hii kama ipo kwenye verse ya moja ya nyimbo za Prof J
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…