Msaada wa ushauri unahitajika kwenye uhusiano huu

Msaada wa ushauri unahitajika kwenye uhusiano huu

Kuna mtu mmoja hivi kampenda rafiki yangu hawajafanya lolote , ila shida ni hii mke wake wa jamaa alikufa kwa ajali ya gari sasa huyo dada yupo njia panda anaogopa kama kitamtokea kama kilivyomtokea yule mama maaana kaacha mtoto wa miaka 2 . Hii inshu haijatungwa tunaomba mumpe msaada aende au abaki. Cc. National Anthem
Kama mwanaume anampenda bibie, aendelee.. ila kama bibie ndio anampenda mwana.. asiendelee.
 
Back
Top Bottom