Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kama mwanaume anampenda bibie, aendelee.. ila kama bibie ndio anampenda mwana.. asiendelee.Kuna mtu mmoja hivi kampenda rafiki yangu hawajafanya lolote , ila shida ni hii mke wake wa jamaa alikufa kwa ajali ya gari sasa huyo dada yupo njia panda anaogopa kama kitamtokea kama kilivyomtokea yule mama maaana kaacha mtoto wa miaka 2 . Hii inshu haijatungwa tunaomba mumpe msaada aende au abaki. Cc. National Anthem
Je ikimtokea nayeye mmh mi nimemwambia asikilize moyo wakeKama mwanaume anampenda bibie, aendelee.. ila kama bibie ndio anampenda mwana.. asiendelee.
Nigee mie connection basi kama anaogopa...Je ikimtokea nayeye mmh mi nimemwambia asikilize moyo wake
Wewe si mchagga hamuogopi kituKifo ni haki ya msingi kila mmoja wetu; aendeleze mchakato
Ni kweli unamtaka wewe si ndio hatari zaidiNigee mie connection basi kama anaogopa...
ila anaweza fanya kukusanya taarifa za jamaa kuanzia makuzi yake hadi hapo alipo.. anaweza akapata ABC.. asiongozwe na hisia zaidi
Acha uoga, miaka 50 ijayo utakuwa wapi?Wewe si mchagga hamuogopi kitu
😅😅 nipigie pande hilo.. rafiki yanguNi kweli unamtaka wewe si ndio hatari zaidi
Inamtokeaje, asiishi kwa hisia mwanamamaJe ikimtokea nayeye mmh mi nimemwambia asikilize moyo wake
Mie sintakufa nitaishi mie hadi ile.miaka ya abrahamu 300Acha uoga, miaka 50 ijayo utakuwa wapi?
Eh kwa hiyo unashaurije??Inamtokeaje, asiishi kwa hisia mwanamama
Tembelea hospitalini, ukae eneo lile la dharura ''emergency'', kuna kitu utajifunzaMie sintakufa nitaishi mie hadi ile.miaka ya abrahamu 300
kabisa, amshauri aisitumie hisia kufanya maamuziWewe si mchagga hamuogopi kitu
kama yupo tayari, its oky. Ila asiende kuishi kwenye nyumba ya mke mwenza.Aanze maisha sehemu tofautiEh kwa hiyo unashaurije??
Hey my dear hi have you gone there or still here talking broken english??Let love lead we all gonna die