Kama vp kakaOmba tu mkuu japo angalia vyuo visivyo na ushindani mkubwa hasa private.
Ikoje yenyewe i kakaSoma kozi ya cyber utafaidi Zaid. MD imechuja sikuhizi
Kampala, st. joseph, kairuki, bugando na kcmc jaribu huko unaweza kubahatika mkuu.Kama vp kaka
Bugando na KCMC hawezi pata.Kampala, st. joseph, kairuki, bugando na kcmc jaribu huko unaweza kubahatika mkuu.
Basi ajaribu na St.francis hapo ifakara.Bugando na KCMC hawezi pata.
Kwa afya naweza kujalobu ipi kakaKulivyo na utitiri wa one za sayansi.. nakushauri omba kozi za vyuo vya private tu
Lakini imeangaliwa admission capacity muhimbili ni 25Omba doctor of dental surgery muhimbil utapata
Yess ajaribu St Francis, St Joseph, St John's.Basi ajaribu na St.francis hapo ifakara.
Hapatiii huyu course yoyote pale MUHAS kwa Bachelor Degree.Omba doctor of dental surgery muhimbil utapata
Dogo hawezi kuelewa haya madini uliyompa mkuu. Hizi kozi watoto wengi wanaomaliza six hawazijuwi washakariri zile common tuSoma kozi ya cyber utafaidi Zaid. MD imechuja sikuhizi
Asikudanganyee, kwa ufaulu wako usijisumbue kuomba MUHAS kwa course yoyote Degree, utapoteza muda wako bureee.Lakini imeangaliwa admission capacity muhimbili ni 25
Tatizo la vyuo vya private ada zao kubwaYess ajaribu St Francis, St Joseph, St John's.
Ila Bugando, KCMC, hapati, tena MUHAS asiguse kabisaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]