macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Nchi ngumu sana hii. Mtu mzima anauliza asome nini!Nina one ya point 9 PCB nataka ni omba MD naombeni mawazo yenu wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ngumu sana hii. Mtu mzima anauliza asome nini!Nina one ya point 9 PCB nataka ni omba MD naombeni mawazo yenu wadau
Kwanini?....Hapatiii huyu course yoyote pale MUHAS kwa Bachelor Degree.
Hivi walivyoandika admisiion capacity 25 wakati mwaka wa kwanza Muhimbili wanaingia MD kama 200-300 why wameandika 25 nimejiuliza hilo swali sijapata jibuLakini imeangaliwa admission capacity muhimbili ni 25
Najua unapenda afya, kuna mdau amekuambia soma cyber security, dunia bado ina uhaba wa wataalamu kwenye hii sekta hutojutia. Dunia inaelekea huko!Nina one ya point 9 PCB nataka ni omba MD naombeni mawazo yenu wadau
Lakini imeangaliwa admission capacity muhimbili ni 25
Duuh mkuu ina maana hata unesi hapo muhas hapati?Yess ajaribu St Francis, St Joseph, St John's.
Ila Bugando, KCMC, hapati, tena MUHAS asiguse kabisaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Brother sijui kwa matokeo hayo kama unaweza kupata..omba veterinary medicine sua unaweza pataKwa afya naweza kujalobu ipi kaka