Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
- Thread starter
- #21
niletee na mie....swity malezi sio mchezo eti kwanza Mungu kawajaalia watoto wazuri wa 4, kwa nini hao hao mcwape matunzo/malezi/huduma nzuri ili wawe hiyo baraka/obama wa baadae? ..mtoa mada hebu niambie kama huyu mama ni mama wa nyumbani au mfanyakazi/mfanya biznes, ...huyu baba namwelewa kabisa msimamo wake!
Nashukuru sana nyamayao.Kwa kweli huyo mama ni mama wa nyumbani na hana hata kigenge chochote na hata huyo mwanaume kazi aliyonayo si ya kuweza kuhimili mahitaji ya kawaida ndo maana akawa amepangilia kwa kile kidogo akipatacho awze kuwahudumia hao wanne na huyo mama yao ambae hana hata kikazi cha kupika kwa watu.yaani wote ni wategemezi 100% kwa huyo baba.
Mtoto wa kwanza yupo Form IV ndo anajianda na mitihani,wa pili yupo Darasa la saba na wa tatu yupo Darasa la tano huyo wa nne ndo yupo chekechea.Wa kwanza mpaka wa tatu ni wanaume wakati huyo wa nne ni msichana.
Ndo hayo tu nyamayao