Wapendwa wangu mimi ni mjasiriamali,natengeneza mashati ya vitenge, bazee, na batic. Kiu yangu kubwa ni kuhakikisha vazi hili la Africa linatamba.
Naomba ushauri wenu. Nataka niwe najumlisha katika maduka mbalimbali mikoani, je nini nifanye? Au kuna taratibu yoyote zinatakiwa? Naombeni ushauri wapendwa wangu.
Asanteni.