Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila jumatano wanasafirisha mikoani vifaranga f1 wa Kuroiler. Kama una nia njoo pm nikupe mawasiliano yao kampuni inaitwa AKM GLITTERS.
Mkuu napata shida kukutumia pm, wakisema siwezi kuanza mazungumzo naweKila jumatano wanasafirisha mikoani vifaranga f1 wa Kuroiler. Kama una nia njoo pm nikupe mawasiliano yao kampuni inaitwa AKM GLITTERS.
... inaonesha jinsi gani kilimo hakithaminiwi. Ingekuwa kula tunda kimasihara uzi ungekuwa page ya 200 in two days.Uz umekosa wachangiaji 😔😔😔😔
Sawa mkuu basi acha nimwage mchele tu, namba zao ni hizi 0783833335Mkuu napata shida kukutumia pm, wakisema siwezi kuanza mazungumzo nawe
Kila jumatano wanasafirisha mikoani vifaranga f1 wa Kuroiler. Kama una nia njoo pm nikupe mawasiliano yao kampuni inaitwa AKM GLITTERS.
Sawa mkuu basi acha nimwage mchele tu, namba zao ni hizi 0783833335
Ukipata changamoto yoyote nicheki kwenye 0718151415
Hawa vifaranga wao kuku wao hawasumbui ni genuine first generation na wanakua fasta!Kila jumatano wanasafirisha mikoani vifaranga f1 wa Kuroiler. Kama una nia njoo pm nikupe mawasiliano yao kampuni inaitwa AKM GLITTERS.
Walikuwa na promo Jan Dec 1,000 kifaranga, baadaye ikawa 1,300 ukichukua chini ya 500 500+ Kwa 1,200 sijui kama bado inaendelea! WapigieMkuu,
Wanakuwa na vifaranga vya Kuroiler pekee au hata Sasso wanapatikana?
Gharama zao zipoje?
Yes wanaendelea na wana vifaranga wazuri sana.Walikuwa na promo Jan Dec 1,000 kifaranga, baadaye ikawa 1,300 ukichukua chini ya 500 500+ Kwa 1,200 sijui kama bado inaendelea! Wapigie