msaada wa vitabu.

msaada wa vitabu.

GITWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
1,572
Reaction score
1,781
Mdogo wangu anaitaji kufanya mtihani wa form 6 mwaka kesho kwa HKL kama PC . Naomba mnijuze Vitabu vinavyofaa kumnunulia vinavyoendana na mtaala wa sasa kwa hayo masomo.
 
Bora nirudi jera-kimeandikwa na Hussein Machozi, Nataka kulewa-kimeandikwa na Diamond, act like a lady,think like a man-kimeandikwa na mimi, one night @ a call centre-kimeandikwa na mimi, Mwanayumba-kimeandikwa na Chege.
 
Bora nirudi jera-kimeandikwa na Hussein Machozi, Nataka kulewa-kimeandikwa na Diamond, act like a lady,think like a man-kimeandikwa na mimi, one night @ a call centre-kimeandikwa na mimi, Mwanayumba-kimeandikwa na Chege.

Sio kila wakati ni wa masikhara jaribu kua serious wakati mwingine
 
Mdogo wangu anaitaji kufanya mtihani wa form 6 mwaka kesho kwa HKL kama PC . Naomba mnijuze Vitabu vinavyofaa kumnunulia vinavyoendana na mtaala wa sasa kwa hayo masomo.

Waungwana bado nasubiri mwenye ufahamu anijuze.
 
Bora nirudi jera-kimeandikwa na Hussein Machozi, Nataka kulewa-kimeandikwa na Diamond, act like a lady,think like a man-kimeandikwa na mimi, one night @ a call centre-kimeandikwa na mimi, Mwanayumba-kimeandikwa na Chege.

epuka bangi
 
OK. Nitaenda ila nafikiri book shop ni wafanya Biashara wanaweza wasijue syllabus iliyopo.
 
Waalimu wooote mukuje hapa na wadau wa elimu
 
Back
Top Bottom