LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Habari, nimefanya biashara ya barafu kwa fridge za home naona zimenikolea. Sasa mwaka huu nataka kutanua biashara ninunue standing freezer. Je kama kuna MTU anayauza/ au anafahamu brand nzuri? Nb. Nimezunguka kariakoo nimekuta bei juu sana.