Msaada wa Zawadi stahiki inayomfaa Mzee wa Makamo

Inategemeana huyo mzee wa makamo ni nani kwako, taja kwanza ni nani kwako then kuanzia hapo watu wanaweza wakafunguka zawadi vizuri. Yawezekana huyo mzee na baba mzazi, babu yako ama hata baba mkwe au jirani so funguka kwanza
Ni Baba Mkwe Mtarajiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…