Msaada wa Zawadi stahiki inayomfaa Mzee wa Makamo

Msaada wa Zawadi stahiki inayomfaa Mzee wa Makamo

Inategemeana huyo mzee wa makamo ni nani kwako, taja kwanza ni nani kwako then kuanzia hapo watu wanaweza wakafunguka zawadi vizuri. Yawezekana huyo mzee na baba mzazi, babu yako ama hata baba mkwe au jirani so funguka kwanza
Ni Baba Mkwe Mtarajiwa.
 
Back
Top Bottom