Ngwananzengo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,911
- 1,315
Suala la kuwa na wasomi wenye maadili si suala la mfumo wa elimu pekee. Kuna mwanafalsafa aliwahi kusema "jamii yoyote hupata viongozi inaowasitahili". Suala la kuiangalia jamii ni la msingi sana, jamii ya hovyo hupata viongozi wa hovyo iwe wa kimila, kisiasa, kijamii, kiimani n.k. Kwa hali hiyo hata wasomi utakaopata watakuwa ni wa hovyo. Mfano mzuri ni hapa TZ, tunao wasomi Waliosoma chuo kikuu cha Havard, moja ya vyuo bora zaidi duniani Lakini cha kusikitisha ndio hao hao wanaoongoza kwa rushwa na ufisadi.How do you do that when you don't invest in education system that produces decent graduates?
Suala la kuwa na wasomi wenye maadili si suala la mfumo wa elimu pekee. Kuna mwanafalsafa aliwahi kusema "jamii yoyote hupata viongozi inaowasitahili". Suala la kuiangalia jamii ni la msingi sana, jamii ya hovyo hupata viongozi wa hovyo iwe wa kimila, kisiasa, kijamii, kiimani n.k. Kwa hali hiyo hata wasomi utakaopata watakuwa ni wa hovyo. Mfano mzuri ni hapa TZ, tunao wasomi Waliosoma chuo kikuu cha Havard, moja ya vyuo bora zaidi duniani Lakini cha kusikitisha ndio hao hao wanaoongoza kwa rushwa na ufisadi.
Labda kiingereza sikijui vizuri, uliposema "decent graduates" nilielewa wasomi wenye maadili, wasio na tamaa wala mawaa, waungwana na wazalendo. Kuhusu Tanzania kuwa na wataalamu wenye ujuzi wa kusaidia jamii kuongeza tija na ufanisi ktk uzalishaji wa bidhaa na huduma nadhani hilo liko wazi. Kwa mtu mweledi na mwenye kusoma machapisho mbalimbali asingeuliza swali hili. Sisemo hivyo kwa ubaya bali ni jambo lililo wazi mno, ni Sawa na mtu aulize, "Hivi binadamu aweza kutembea bila ya kichwa?"You didn't understand my point. Did you? You have argued that the country needs to export quality products. I agree with you on that premise. However, in order to do that, the country is required to have experts who can turn raw materials into commodities that people, outside Tanzania, are willing to buy. Do you think Tanzania has required experts who can make the differences? Or do you just argue for the sake of doing so?
Labda kiingereza sikijui vizuri, uliposema "decent graduates" nilielewa wasomi wenye maadili, wasio na tamaa wala mawaa, waungwana na wazalendo. Kuhusu Tanzania kuwa na wataalamu wenye ujuzi wa kusaidia jamii kuongeza tija na ufanisi ktk uzalishaji wa bidhaa na huduma nadhani hilo liko wazi. Kwa mtu mweledi na mwenye kusoma machapisho mbalimbali asingeuliza swali hili. Sisemo hivyo kwa ubaya bali ni jambo lililo wazi mno, ni Sawa na mtu aulize, "Hivi binadamu aweza kutembea bila ya kichwa?"
Tatizo la msingi sio wasomi kutokuwa na ujuzi na weledi, tatizo kubwa linalotusumbua, mosi ni wasomi wenyewe na jamii kuamini hawawezi, pili ni uvivu. Mfano mzuri ni Rwanda, Rais Paul Kagame alikuja kachukua wasomi Wa Tanzania ili kuijenga Rwanda na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa. Ripoti ya shirika la kazi dunia (2013) ILO ilisema uwiano wa kazi kwa Mkenya na Mtz ni 1:5, kwa wazimbabwe ni 1:7,kwa watu wa EU ni 1:12. Hii tafsiri yake Mkenya 1 aweza fanya kazi ya watu 5 WATZ. Kuhusu misaada tatizo ni letu, kama rushwa na ufisadi tungevitokomeza ukusanyaji wa kodi ungepanda na misaada tusingeihitaji.When I say decent graduates I mean people with decent skills. To be honest, Tanzanian system of education hasn't produced graduates that can compete in the global market. So when you say the country needs to increase the export of processed goods, the question is who is going to do that? Remember that you sell when people are willing to pay for your services and products. Back to our original discussion, the currency of the nation reflects the way the country is run. For example, countries that depend on foreign aid for their survival have weaker currencies. The question is if required, can Tanzania reduces the size of foreign aid it receives in order to improve its currency?
Tatizo la msingi sio wasomi kutokuwa na ujuzi na weledi, tatizo kubwa linalotusumbua, mosi ni wasomi wenyewe na jamii kuamini hawawezi, pili ni uvivu. Mfano mzuri ni Rwanda, Rais Paul Kagame alikuja kachukua wasomi Wa Tanzania ili kuijenga Rwanda na kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa. Ripoti ya shirika la kazi dunia (2013) ILO ilisema uwiano wa kazi kwa Mkenya na Mtz ni 1:5, kwa wazimbabwe ni 1:7,kwa watu wa EU ni 1:12. Hii tafsiri yake Mkenya 1 aweza fanya kazi ya watu 5 WATZ. Kuhusu misaada tatizo ni letu, kama rushwa na ufisadi tungevitokomeza ukusanyaji wa kodi ungepanda na misaada tusingeihitaji.