Msaada wadau mjamzito wa siku 90

Msaada wadau mjamzito wa siku 90

Joined
Jan 22, 2014
Posts
42
Reaction score
2
Kuna dada kaniomba ushauri, anadai anaujauzito wa siku 90 , anashindwa kula na anatapika kupita kiasi, nimemwambia nitamjibu baadae nililete kwa wadau kwa ushauri ili niwe na jibu zuri la kumwambia
 
Kuna dada kaniomba ushauri, anadai anaujauzito wa siku 90 , anashindwa kula na anatapika kupita kiasi, nimemwambia nitamjibu baadae nililete kwa wadau kwa ushauri ili niwe na jibu zuri la kumwambia

Jibu zuri ni kwamba hiyo ni hali ya kawaida kwa wajawazito ila ajitahidi kula mboga za majani sana na maji anywe lita 1.5 kila siku.
 
Kuna dada kaniomba ushauri, anadai anaujauzito wa siku 90 , anashindwa kula na anatapika kupita kiasi, nimemwambia nitamjibu baadae nililete kwa wadau kwa ushauri ili niwe na jibu zuri la kumwambia
Kabla ya kumpeleka Hospitali mchemshie chai ya Tangawizi mpe anywe atazuia kutapika fanya hivyo kisha uje unipe feedback.
 
Back
Top Bottom