Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio rahisi kutumiza hayo uliyoyaandika.jnategemea huko advanc anaend kusomea nin,pcb ili iweje?
anageenda zake koz ya nursing dip tu kwaza anapata kaz na ka ana kichwa kizur anakuj badae kufanya Md bila shida na experianxe l!! shauri yake
mzee wa masihara kumbe kwa brain ni smartAdvance sio kabisaaa.. dogo aende chuo
Aende chuo…… hana tofaut na anaesoma advance tofaut n kuwa yeye akimaliza anaeza pata kazi au kulamba deal bila kuwa na degree ila wa advance yeye mpaka asome degreeAmechaguliwa kwenda chuo. Anasema hapana. Anatpenda aendelee na kidato cha tano kwa mchepuko wake uleule wa masomo ya sayansi. Wapi nigeukie ili nisaidiwe?
Sio sawa aisee, kwa upande wangu naonaa bora mtoto asome form five na six, ili aje apambane huko mbele mambo ya kumsotesha chuoni ambako anakutana na changamoto kama zote katika umri mdogo sio sahihi. tena bora hata Sayansi huku Arts ndio kabisaa kumpeleka akaanzie cheti ni uamuzi usio sahihiHawa watoto sijui nani kawaloga eti kwenda form five kwao ndio dili. Nina uncle wangu mwaka jana alipangiwa chuo cha MUST course ya umeme eti akataka kubadilisha kwenda form five kashauriwa na baba yake, mimi nikamwambia wewe jaribu kubadilsha ndio utanijua mimi ni nani. Uncle akanisikiliza akaenda MUST kufika kule nikamuombea abadilishe course asome civil kwa sababu tayari kuna watu wamesoma umeme kwenye familia akapata. Leo hii ananipigia simu anafurahia maisha ya chuo na anatarajia kulamba hela ya IPT muda sio mrefu.
Kifupi watu bado hawaelewi kuhusu hizi elimu za vyuo vya kati wao wanadhani five na six ndio dili, hawajui zama zimebadilika.
Ushauri wangu kwako usikubali mjukuu akupande kichwani, mshauri umuhimu wa kwenda chuo tena uzuri ni chuo cha afya, tumia democrasia kumshauri ikishindikana tumia nguvu tena ikiwezekana mwambie akienda form five hutomlipia ada, atakuja kukushukuru baadae.
Mwaka 2015 nilipomaliza advance nilipangiwa nikasome PCM kiuhalisia niligoma kwenda serikalini maana nikiamini Hesabu siijui na nilipofuatilia uhamisho nilikosa,nikaamua Kwenda Advance kusoma PCB mason yalikuwa magumu kwangu hata siwezi Kueleza nachokumbuka baada ya kumaliza Form Five nikawaambia wazazi naomba niachane na advance niendelee na wazo langu la pili la kwenda chuo(Hivyo nikawa nimepoteza mwaka mmoja badala ya miwili)Amechaguliwa kwenda chuo. Anasema hapana. Anatpenda aendelee na kidato cha tano kwa mchepuko wake uleule wa masomo ya sayansi. Wapi nigeukie ili nisaidiwe?
Darasa langu la Diploma.Sio sawa aisee, kwa upande wangu naonaa bora mtoto asome form five na six, ili aje apambane huko mbele mambo ya kumsotesha chuoni ambako anakutana na changamoto kama zote katika umri mdogo sio sahihi. tena bora hata Sayansi huku Arts ndio kabisaa kumpeleka akaanzie cheti ni uamuzi usio sahihi
Nursing is professional.Unesi ni wito.
Watu bado wanaishi Kwa maisha ya mazoea Mimi nimesoma advance na nikaacha baada ya kuona naenda kufeli Tu na kupoteza muda.Mshauri aende chuo.
Usiwe kama mdau hapo juu kumlazimisha asome kile wewe unataka, hayo ni maisha yake kikubwa wewe timiza wajibu wako.
Akiukataa uahauri wako wa kwenda chuo basi acha aende huko advance.
Ila advance sio salama sana kwa sasa, itambidi apige kitabu hasa ili walau fomlrm six atoke na kijiti ajichagulie chuo na course atakayo akipata hata 2 au 3 kupata chuo hasa hawa science kwa course wanazotaga wengi wao huwa ni changamoto.
Pia kupata mkopo kama wewe mzazi/mlezi uwezo huna, huenda elimu yake ikaishia hapo form 6 endapo akikosa mkopo na uwezo wa kumsomesha chuo mkakosa.
Kupanga ni kuchagua.
Nimeishia hapo.Mwaka 2015 nilipomaliza advance nilipangiwa nikasome PCM kiuhalisia niligoma kwenda serikalini
Wazazi wake wanasemaje?Amechaguliwa kwenda chuo. Anasema hapana. Anatpenda aendelee na kidato cha tano kwa mchepuko wake uleule wa masomo ya sayansi. Wapi nigeukie ili nisaidiwe?
Mkuu hivi kati ya chet cha form six na certificate au diploma ya fani yeyoye ile kipi kinasoko? Cheti muhimu kwa upande wangu ni form four baada ya hapo mtoto akasomee fani kuanzia cheti, diploma kisha degree anaweza kwenda chukua akiwa kwenye ajira yake.Tena kwa issue ya ufundi anayeanzia cheti, diploma kisga chuo kikuu anakuwa fundi kweli kweli huwezi mfananisha na fundi aliyetoka form six akaenda chuo kikuu.Sio sawa aisee, kwa upande wangu naonaa bora mtoto asome form five na six, ili aje apambane huko mbele mambo ya kumsotesha chuoni ambako anakutana na changamoto kama zote katika umri mdogo sio sahihi. tena bora hata Sayansi huku Arts ndio kabisaa kumpeleka akaanzie cheti ni uamuzi usio sahihi