palahingwe
Member
- Apr 1, 2020
- 16
- 10
Wadau natakunguliza shukrani kwenu kwa majibu ntakayopata naamini ntakuwa nimejifunza jambo, mfano;
TDS 40,
CALCIUM 4,
MAGNESIUM 12,
SULPHATE, CLORIDE na nyinginezo.
Naomba kujua kwanini zipo zinawekwa kwenye maji, na zina faida au hasara gani? na zinatengenezwa na nini?
Kwenye chupa za maji mbali mbali huwekwa kwa viwango tofauti.
Huwa najiuliza mwenyewe, ukipewa hvyo viwango vilivyoainishwa kwenye chupa unywe tuu peke yake itakuwaje?
TDS 40,
CALCIUM 4,
MAGNESIUM 12,
SULPHATE, CLORIDE na nyinginezo.
Naomba kujua kwanini zipo zinawekwa kwenye maji, na zina faida au hasara gani? na zinatengenezwa na nini?
Kwenye chupa za maji mbali mbali huwekwa kwa viwango tofauti.
Huwa najiuliza mwenyewe, ukipewa hvyo viwango vilivyoainishwa kwenye chupa unywe tuu peke yake itakuwaje?