Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi sikuhizi wanakodisha sh ngapi kwa heka?Nenda ruvu ukilipita daraja ulizia mashamba ya ushirika Nafco pale utakodi shamba na kilimo ni cha kumwagilia kupata mavuno % 90
Samahan mkuu,naomba ufafanue kidogo ni maeneo gani na unawekajewekaje hyo m1.Jilipue mbaba kinalipa ukitusua....unaweka m1 unapata m6 baada ya miez 6, cha kisasa unaweka m1 unapata m3 baada ya miezi mitatu
Acheni kubeti wasengerenyuma watz mnakua ka wajinga
Hapa cyo biko wala tatu mzuka.....Samahan mkuu,naomba ufafanue kidogo ni maeneo gani na unawekajewekaje hyo m1.
Mkuu ndo maana nimeomba samahan,wengine tuna Bahati ya kukatishwa tamaa,nimetoka Moro mwezi uliopita,natafuta taarifa sahihi nijilipue.Hapa cyo biko wala tatu mzuka.....
Nenda moro katafute mashamba ya kukodi
Tafuta mwenyeji braza....Mkuu ndo maana nimeomba samahan,wengine tuna Bahati ya kukatishwa tamaa,nimetoka Moro mwezi uliopita,natafuta taarifa sahihi nijilipue.
Brother tupatie mawasiliano ya huyo meneja tupate taarifa kamiliIla nafkiri ntakua na no za Meneja wa pale
kwa msimu ujaoa ama maana now wanavuna mkuuMwenye majaruba mazuri hasa mbeya natafta ya kukodi pm
Ee kwa msimu ujao msaada kama nitapatakwa msimu ujaoa ama maana now wanavuna mkuu
Mkuu kilimo cha kisasa kipo wapi hivyo cha 3monthJilipue mbaba kinalipa ukitusua....unaweka m1 unapata m6 baada ya miez 6, cha kisasa unaweka m1 unapata m3 baada ya miezi mitatu
Acheni kubeti wasengerenyuma watz mnakua ka wajinga
Mkuu wanakodisha mashamba kwa bei gan huko ruvuNenda ruvu ukilipita daraja ulizia mashamba ya ushirika Nafco pale utakodi shamba na kilimo ni cha kumwagilia kupata mavuno % 90