Msaada wadau simu yangu inasumbua google pixel

Msaada wadau simu yangu inasumbua google pixel

Joined
Feb 13, 2024
Posts
80
Reaction score
204
Jamani naombeni mwenye ujuzi na hizi simu za google pixel anisaidie, in short nina google pixel 5g a hii ilikua poa tu lakini ikaanza kuna wakati naichaji inaniandikia hili neno liquid debris then inaacha kuchaji nilichokua nakifanya nikuchomoa chaja na kuirudishia tena inaendelea kufanya kazi

Lakini tangia juzi naona imegoma kabisa kupeleka chaji na sijui tatizo ni nini?

Wadau wataalamu wa haya mambo naombeni mnisaidie kabla sijaenda kwa mafundi mtaani
 
Jamani naombeni mwenye ujuzi na hizi simu za google pixel anisaidie, in short nina google pixel 5g a hii ilikua poa tu lakini ikaanza kuna wakati naichaji inaniandikia hili neno liquid debris then inaacha kuchaji nilichokua nakifanya nikuchomoa chaja na kuirudishia tena inaendelea kufanya kazi

Lakini tangia juzi naona imegoma kabisa kupeleka chaji na sijui tatizo ni nini?

Wadau wataalamu wa haya mambo naombeni mnisaidie kabla sijaenda kwa mafundi mtaani
mkuu
Jamani naombeni mwenye ujuzi na hizi simu za google pixel anisaidie, in short nina google pixel 5g a hii ilikua poa tu lakini ikaanza kuna wakati naichaji inaniandikia hili neno liquid debris then inaacha kuchaji nilichokua nakifanya nikuchomoa chaja na kuirudishia tena inaendelea kufanya kazi

Lakini tangia juzi naona imegoma kabisa kupeleka chaji na sijui tatizo ni nini?

Wadau wataalamu wa haya mambo naombeni mnisaidie kabla sijaenda kwa mafundi mtaani
mkuu pole sana hapo tatizo lilikua kwenye port ya kuchajia ilikua na matone ya maji,ulipaswa kufanya namna ya kuikausha,pixel huwa zinawarn sana kama mambo ayako sawa,nadhan ulivyokua unachaj ivyo ivyo labda imepiga short charging system
 
Ulikosea sana ku ignore hiyo warning ⚠️ ulipaswa hata ku google kujua ina maana gani kabla hujaja huku kuomba msaada wakati maji yamekufika shingoni..... Pixels zina warn kabisa zikianza kua multifunctional failures..

Yangu kuna siku niliweka privacy protector ikaanza kunipa warning niiondoe siku ya kwanza tu, baadae siku wa siku sensitivity ya kutouch ikaanza kuzingua na proximity sensor ikaanza kutofanya kazi vizuri ikabidi niitoe haraka nikaweka hizi za kawaida ikakaa sawa..
 
Back
Top Bottom