hizi 50*50 na 60*60 bei ipoje mkuuKwa tanzania tiles zilizo bora now ni Twyford at least wanajitaidi kutoa Spanish design
Sitting room ukitaka itoke poa weka 50*50 size au 60*60 ndo inakuwa fresh
Check kama izi sample apa chini..
Nakama unaitaji size yoyote nichek
0623152344
View attachment 2184885
60*60 bei inaanza kwa box 35000 mpk 33000hizi 50*50 na 60*60 bei ipoje mkuu
Zinakuwa ngapi katika Box moja????60*60 bei inaanza kwa box 35000 mpk 33000
50*50 bei inaanza kwa box 40000 mpk 37000
So Twford wamecopy za Spain halafu wewe ndio unasema kuwa wao ndio bora? Ina maana wao ndio bora kuliko walio wacopy?Kwa tanzania tiles zilizo bora now ni Twyford at least wanajitaidi kutoa Spanish design
Sitting room ukitaka itoke poa weka 50*50 size au 60*60 ndo inakuwa fresh
Check kama izi sample apa chini..
Nakama unaitaji size yoyote nichek
0623152344
View attachment 2184885
Unapatikana wap mkuu60*60 bei inaanza kwa box 35000 mpk 33000
50*50 bei inaanza kwa box 40000 mpk 37000
Mkuu bihashara matangazo, weka bei kama uko serious nawengine tuone ili tuvutike, haya mambo ya kuitana chocholoni siyoKwa tanzania tiles zilizo bora now ni Twyford at least wanajitaidi kutoa Spanish design
Sitting room ukitaka itoke poa weka 50*50 size au 60*60 ndo inakuwa fresh
Check kama izi sample apa chini..
Nakama unaitaji size yoyote nichek
0623152344
View attachment 2184885
Akijibu nistueZinakuwa ngapi katika Box moja????
60*60 zinakaa 4 kweny box na zinacover sqm ya 1.44Zinakuwa ngapi katika Box moja????
Napatikana chalinze bossUnapatikana wap mkuu
?
Kama unahitaji tiles nzuri na zenye ubora bila kujali bei nenda kwenye maduka ya dar ceramica au CTMHabari wadau wa ujenzi,naomba ufafanuzi juu ya tiles/vigae,ni criteria zipi/au kipimo gani/tunaangalia nini na nini kujua tiles hii ni bora?
Hapa nazungumzia tiles za sakafuni especially za kuweka vyumbani, sebuleni, kibarazani, koridoni na sio jikoni na vyooni.
Je bei kuwa kubwa ndio tiles bora?
Kuwa slippery?
Kuwa 3D?
Ung'avu wa kioo?
Unene wa tiles na ukubwa wake(mm)?
Je,sehemu zinapotengenezwa?
Je,ni za ndani au nje ya nchi ndio bora zaidi (brand).
Mwenye uelewa aje tafadhari.
View attachment 2184109
Maduka hayo yapo Mwanza pia?????Kama unahitaji tiles nzuri na zenye ubora bila kujali bei nenda kwenye maduka ya dar ceramica au CTM
Yapo, dar ceramica wapo mjini Kenyata road opposite na crdb na CTM wapo Kenyata road pia ukiwa unaelekea nyegezi, kati ya tanesco na pepsiMaduka hayo yapo Mwanza pia?????