Hongera na pole , mimi nimemaliza mwaka huu 4th year hapo UDSM department moja na mechanical ,ukitaka kuahirisha mwaka lazima kwanza ufanye registration upewe kitambulisho hapo unaweza ukaahirisha hata miaka mitatu, unachotakiwa ni kulipa ada ya first semester 650,000 Tsh. na vitu vingine vidodogvidogo kama 75,000 Ths. hivi .Hapo utakuwa mwanafunzi wa UDSM na uamuzi unabaki kwako unataka uahirishe miaka mingapi
USHAURI
Kama utaweza kulipa hiyo ada apeal board,trust me unaweza kuletewa mkopo badae hasa kwa hiyo course yako,
na ikishindikana apply mwakani mkopo watakupa na hiyo ada utakayokua umelipa sahivi utarudishiwa mwakani