Muntu Ya Pori
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 222
- 64
Habari zenu. Nimechaguliwa Mechanical Engineering udsm ila mkopo nimenyimwa,so naomba kujuzwa ukitaka kuahirisha mwaka utaratibu ukoje? na kama unajiripia fdh zote kwa mwaka ni tsh ngapi. Na wapi naweza kuomba ufadhili wa kulipiwa gharama za chuo kwa makubaliano ya kuwafanyia kazi baada ya kufanikiwa kumaliza? naomba kwa yeyote mwenye msaad juu ya mambo hayo anisaidie,nimevulugwa mno na hawa HESLB