Msaada wadau wa Elimu....hasa wenye huelewa na TCU!

Msaada wadau wa Elimu....hasa wenye huelewa na TCU!

kbosho

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2012
Posts
13,034
Reaction score
6,571
Nina ndugu yangu yupo kijijini, ni muhitimu wa kidato cha sita ameniomba nimwangalizie profile yake ya tcu...chaajabu nimekuta wame muekea kozi mpya zote tofauti na alizo ziomba, mfano udsm aliomba BA economics amekuta wamebadili wame weka BA in Fine and performning Arts, wakati yeye amesoma HGE na ana div TWO, naombeni ushauri wana JF
 
Nina ndugu yangu yupo kijijini, ni muhitimu wa kidato cha sita ameniomba nimwangalizie profile yake ya tcu...chaajabu nimekuta wame muekea kozi mpya zote tofauti na alizo ziomba, mfano udsm aliomba BA economics amekuta wamebadili wame weka BA in Fine and performning Arts, wakati yeye amesoma HGE na ana div 11, naombeni ushauri wana JF

hapo fafanua kidogo
 
Atakuwa alikosea mwenyewe wakati anajaza na si vinginevyo.
 
wakuu ana div two....mnisamehe niliteleza kidogo.
 
dah anaweza pangiwa course ambayo hakuomba wala haijui, nilikuwa naomba ushauri wenu wa haraka.....je naweza msaidiaje huyu dogo kwa haraka? kabda awajatoa matokeo rasmi katika web yao, je akipata hiyo fine arts kuna uweze kano wa kubadili hiyo course na kurudi economics japo ni department mbili tofauti.... maana cutoff point zao alikidhi!
 
aisee hiyo ni hatari, maana ataweza soma course isiyo na kichwa wala miguu, cha muhimu aje mjini.haraka then afwatilie ilo swala haraka kabda mda hauja isha.
 
dah anaweza pangiwa course ambayo hakuomba wala haijui, nilikuwa naomba ushauri wenu wa haraka.....je naweza msaidiaje huyu dogo kwa haraka? kabda awajatoa matokeo rasmi katika web yao, je akipata hiyo fine arts kuna uweze kano wa kubadili hiyo course na kurudi economics japo ni department mbili tofauti.... maana cutoff point zao alikidhi!

hiii ndio tanzania sasa anaweza asipate mkopo na akasoma iyo kozi itakuwa ni hasara kwa familiya, bora wange mpeleka uwalimu.
 
ndio maana tulikuwa tunasisitizwa kuwa hutembelee a/c yako ya tcu kila mara ili ujue kama kuna mabadiliko! Ila hapo hatakuwa kuna m2 kamfanyia mchezo mchafu cha kufanya ni kwenda kwny ofisi zao tcu
 
Mara nyingi huwa wanafanya hivyo kama kozi uli.zozichagua zote ziko priority na mkopo na hivyo kukupeleka kwenye non priority ili kuwe na sababu mbadala ya kukunyima mkopo kama heslb watathibitisha kuwa huna vigezo
 
ndio maana tulikuwa tunasisitizwa kuwa hutembelee a/c yako ya tcu kila mara ili ujue kama kuna mabadiliko! Ila hapo hatakuwa kuna m2 kamfanyia mchezo mchafu cha kufanya ni kwenda kwny ofisi zao tcu

ni wazo zuri ila sizani kama wata msaidia.
 
wakuu yeye aliomba!
1.Udsm=ba economics
2.Mumbe=b accounting in business sector
3.Sua=agribusiness
4.Aridh=ba economics
5.Udom=ba commerce in finance.

Chaajabu amekuta
udsm=ba Fine and perfmn arts
Aridh=bachelor of science in real estate(finance and investment)
...nyingine zipo sawa....jamani ushauri! please wana Jf.
 
Mara nyingi huwa wanafanya hivyo kama kozi uli.zozichagua zote ziko priority na mkopo na hivyo kukupeleka kwenye non priority ili kuwe na sababu mbadala ya kukunyima mkopo kama heslb watathibitisha kuwa huna vigezo

wamemuwekea mwiba dogo huyo
 
Back
Top Bottom