frank mkweli
Member
- Aug 9, 2013
- 92
- 12
dah anaweza pangiwa course ambayo hakuomba wala haijui, nilikuwa naomba ushauri wenu wa haraka.....je naweza msaidiaje huyu dogo kwa haraka? kabda awajatoa matokeo rasmi katika web yao, je akipata hiyo fine arts kuna uweze kano wa kubadili hiyo course na kurudi economics japo ni department mbili tofauti.... maana cutoff point zao alikidhi!
yah ilo tatizo lilikuwepo ila umefanya makosa ilikuwa inatakiwa kutembelea profile yake mapema kabla closing day... Ata ss ilitokea ila 2likuwa tunabadilisha zikijichange