chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Kama heading inavyojieleza hapo juu....
Habarini wadau jamani mke wangu anaujauzito na tarehe ya matarajio ilikua ni tarehe 1 lakini naona siku zinaenda tu mtoto wangu hazaliwi kazi yake nikurukaruka tu tumboni kwa mama yake.
Je hapa kuna shida gani?
Ushauri pls haina haja ya matusi
Habarini wadau jamani mke wangu anaujauzito na tarehe ya matarajio ilikua ni tarehe 1 lakini naona siku zinaenda tu mtoto wangu hazaliwi kazi yake nikurukaruka tu tumboni kwa mama yake.
Je hapa kuna shida gani?
Ushauri pls haina haja ya matusi