MKALI WA MAMBO
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 211
- 146
Nililala Usiku nilipoamka Asubuhi nimekuta Nywele zangu za kichwani zimepungua Eneo la Utosini mpaka leo nyele azioti vizuri zinaacha nafa wazi je? Nini tatizo wadau ????
Sent using Jamii Forums mobile app pkease Change my Name to mkuu wa kaya
Sent using Jamii Forums mobile app pkease Change my Name to mkuu wa kaya