msaada wadau!

msaada wadau!

BJ.Sahani

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
220
Reaction score
31
jamani kuna hii course ya " Bachelor of Science in Wildlife Science and Conservation" hivi ipo vipi katika upande wa ajira tanzania?
 
jamani kuna hii faculty ya " Bachelor of Science in Wildlife Science and Conservation" hivi ipo vipi katika upande wa ajira tanzania?

Unajua maana ya fuculty??????
Ebu cheki hz alaf ulinganishe na ya kwako; Fuculty of engineering, fuculty of social science, ...... hyo unayosema ni course but not fuculty so jaribu kufuatilia kwanza kitu kabla ya kuandka au kusema itakusaidia saaana... and about your Qn subr wadau waje kukupa informations ila mm huko sipo fresh sanasasan ntakudanganya tu
 
Unajua maana ya fuculty??????
Ebu cheki hz alaf ulinganishe na ya kwako; Fuculty of engineering, fuculty of social science, ...... hyo unayosema ni course but not fuculty so jaribu kufuatilia kwanza kitu kabla ya kuandka au kusema itakusaidia saaana... and about your Qn subr wadau waje kukupa informations ila mm huko sipo fresh sanasasan ntakudanganya tu

hivi ni FUCULTY au ni faculty,acha ujuaji sana wewe! mm nafikir ulielewa nilivyokuwa namaanisha!
 
hivi ni FUCULTY au ni faculty,acha ujuaji sana wewe! mm nafikir ulielewa nilivyokuwa namaanisha!

Vizur sana mkisha ediit ndo mnajfanyga mnapga kelele but no problem yote hayo ni njia ya kijifunza
 
Unajua maana ya fuculty??????
Ebu cheki hz alaf ulinganishe na ya kwako; Fuculty of engineering, fuculty of social science, ...... hyo unayosema ni course but not fuculty so jaribu kufuatilia kwanza kitu kabla ya kuandka au kusema itakusaidia saaana... and about your Qn subr wadau waje kukupa informations ila mm huko sipo fresh sanasasan ntakudanganya tu

Nawewe umekosea..ni FACULTY na sio "fucult"..
 
Back
Top Bottom