CABANA
JF-Expert Member
- Feb 6, 2013
- 420
- 556
Habari za jioni' wana jamvi nilitamani sana kusoma medicine, lakini kwa bahati nzuri au mbaya nimechaguliwa pale mzumbe .BACHELOR IN PUBLIC ADMINSTRATION IN RECORD AND ARCHIVE MANAGEMENT. kozi hii nilichagua mwishoni kabisa sababu ya mtandao w tcu kuniletea mizengwe. NAOMBENI KUJULISHWA NINI FUTURE YA KOZI HII,AJIRA ZIPO KWELI NA NITAKUWA NANI HASWA NA JE NJE YA GOVERNMENT NAWEZA KUPATA KAZI KWELI. msaada jamani, nahisi nisiende kusoma mwaka huu niwe tu mjasiliamali.