deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 521
Wajukuu wanagombania aridhi,watoto wote ni wakiume yaani babu yao ni mmoja kasoro baba zao tofauti,kuna shamba lilikua lina milikiwa na babau yao alipofariki baba zao wakawa wanalimiliki hatimaye baba moja akafariki likawa linamilikiwa na baba yao mkubwa baadaye baba yao mkubwa akafariki sasa watoto wa mkubwa na mdogo wanarumbana kuhusu shamba hilo la babu yao kisheria likoje hilo msaada .