Msaada wako kuhusu chuo

Msaada wako kuhusu chuo

daniel danya

Member
Joined
Aug 21, 2014
Posts
71
Reaction score
2
Guyz nimemaliza form 6 dic yeah nilisoma CBG NA TOKEO LIKAJA HIVI......

Chemistry-C
Biology-C
Geography-B
Gs-C
Bam-C......

Mara baada ya TCU kutangaza tarehe ya application nilifanya application kwa facult za AFYA coz ndo kitu nacho penda hasa MEDICINE coz ndo facult Nazo jua kuwa soko la ajira ni zuri na mtonyo ni upo vizuri.

Nilipitia kitabu cha TCU VIZURI NA KUCHAGUA VYUO NA FACULT ZAKE na requerment zao nikizingatia cutt point zao baada ya kufikiria sana nilifika hatua ya kuomna hivi

HURBET- DOCTOR OF MEDICINE point walikuwa wanahitaji 4.5 means nne kutoka kwenye chemia na bios na 0.5 kutoka kwene physics/mathematics

IMTU- GENERAL MEDICINE AND SURGERY point walizo kuwa wanahitaji 4.5 kama ilivyo hurbert na watu wanao hitajika hurbert ni 112 na imtu ni 176

KAMPALA-PHARMACY point walizo kuwa wanahitaji ni 4 kutoka kwenye chemia na bios watu wanao hitajika ni 570
MUHIMBILI-NURSING point wanazo taka ni 6 means kutoka kwenye chemia,bios na georg ambapo mm nina 7 lakini watu wanao hitajika ni 36

UDOM- NURSING point wanazotaka ni 4.5 kutoka kwenye chemia,bios na georg hapo napo nina 7 watu ni 46 wanao hitajika.

APPLICATION ZINAFUNGWA TAREHE 31 sasa nilikuwa naomba ushauri kutoka kwenu wadau mnisaidie je hizo application niache kama zilivyo au nibadirishe kama kuna sehemu nibadirishe nisaidie. WAPI NI BADIRI, NIWEKE NINI NA KWA NINI. au una ushauri gani kwangu kuhusu hizo facult nn nifanye na mm sector ya afya ndio nayo ipenda.

Kiukweli nahitJi sana msaada wako na ushauri wako kufanikisha hili zoezi ili niweze kwenda chuo nisaidieni ndugu zangu

N.B USINIKASHIFU,USINITUKANE ILA NICHANE UKWELI NINI NIFANYE PLZ USIPITE BILA KUNISAIDIA NITAKUWA TAYARI KUPOKEA USHAURI WAKO PIA UNAWEZA NITAFUTA WHATSAPP KWA NAMBA 0654463082 ukitaka kunipa msaada zaidi.AHSANTENI
 
Mmmmh ugeliuliza kuhusu namna ya kuchunga Ng'ombe nigekupa ushauri kwa sasa acha nipite tu.
 
Usiwe na presha we tulia mbona hapo mambo safi kabisa,kuwa na imani kila kitu ufanyacho hasa kwa akili yako mwenyewe, ila usiwe na imani sana coz jf imepoteza hadhi sio kama mwaka 2007
 
Guyz nimemaliza form 6 dic yeah nilisoma CBG NA TOKEO LIKAJA HIVI......

Chemistry-C
Biology-C
Geography-B
Gs-C
Bam-C......

Mara baada ya TCU kutangaza tarehe ya application nilifanya application kwa facult za AFYA coz ndo kitu nacho penda hasa MEDICINE coz ndo facult Nazo jua kuwa soko la ajira ni zuri na mtonyo ni upo vizuri.

Nilipitia kitabu cha TCU VIZURI NA KUCHAGUA VYUO NA FACULT ZAKE na requerment zao nikizingatia cutt point zao baada ya kufikiria sana nilifika hatua ya kuomna hivi

HURBET- DOCTOR OF MEDICINE point walikuwa wanahitaji 4.5 means nne kutoka kwenye chemia na bios na 0.5 kutoka kwene physics/mathematics

IMTU- GENERAL MEDICINE AND SURGERY point walizo kuwa wanahitaji 4.5 kama ilivyo hurbert na watu wanao hitajika hurbert ni 112 na imtu ni 176

KAMPALA-PHARMACY point walizo kuwa wanahitaji ni 4 kutoka kwenye chemia na bios watu wanao hitajika ni 570
MUHIMBILI-NURSING point wanazo taka ni 6 means kutoka kwenye chemia,bios na georg ambapo mm nina 7 lakini watu wanao hitajika ni 36

UDOM- NURSING point wanazotaka ni 4.5 kutoka kwenye chemia,bios na georg hapo napo nina 7 watu ni 46 wanao hitajika.

APPLICATION ZINAFUNGWA TAREHE 31 sasa nilikuwa naomba ushauri kutoka kwenu wadau mnisaidie je hizo application niache kama zilivyo au nibadirishe kama kuna sehemu nibadirishe nisaidie. WAPI NI BADIRI, NIWEKE NINI NA KWA NINI. au una ushauri gani kwangu kuhusu hizo facult nn nifanye na mm sector ya afya ndio nayo ipenda.

Kiukweli nahitJi sana msaada wako na ushauri wako kufanikisha hili zoezi ili niweze kwenda chuo nisaidieni ndugu zangu

N.B USINIKASHIFU,USINITUKANE ILA NICHANE UKWELI NINI NIFANYE PLZ USIPITE BILA KUNISAIDIA NITAKUWA TAYARI KUPOKEA USHAURI WAKO PIA UNAWEZA NITAFUTA WHATSAPP KWA NAMBA 0654463082 ukitaka kunipa msaada zaidi.AHSANTENI
Hivi MD si lazima uwe umesoma PCB au Imebadilika
 
Cjui kama nilielekezwa vibaya niambiwa ukiona subsidiary subject wameandika physics/mathematics means hat cbg anaenda lakin co kwa vyuo vyote ni baadhi yaa so cjui hapo kama ipo sahihi
 
Okey!! Anaekubeza kupata 'C' flat kwa cbg ni mnafiki, achana nae. Tuliosoma hiyo makitu ndo tunaifahamu...

Back to the topic...
Kuna course ya Afya ambayo wengi hawajastuka. Ni sayansi ya mifupa na viungo bandia- Bsc. Prosthetics & orthotics, inatolewa na KCMC pekee. Iko fresh sana, hasa ukizingatia uhaba na uhitaji wa mabingwa wa mifupa na viungo bandia...

Pia nakushauri, ondoa pharmacy ya KIU weka pharmacy ya St. John, KIU hakina mashiko kwa kweli na hata ukiangalia kwenye ranking hakipo top10 kwa TZ.

Pia jarubu kuangalia fields zingine kama, dentistry, optic, ile surgery ya IMTU kama sikosei... pia CUHAS hawabani sana cbg kuchukua pharmacy yao...

All the best, Dogo.
 
Tusubiri tu na tuzidi kuomba mungu coz hata mm nimepata ufaulu kama huo bt nilikua combination ya PCB pia nami nimeomba vyuo kama Ivyo bt nachokushauri ivo vyuo ulivyoomba hurbert,kampala na Imtu hakikisha kwenu mambo ni mazuri coz ada yao kubwa kinyama la siivyo yatakuwa majanga
 
Nashukuru sana kwa ushauri wako ONTARIO mwenyewe nilickia kuwa kampala wanazingu na ngoja niitoe nicheck hiyo ya KCMC nashukuru sana
 
Back
Top Bottom