Msaada wako kwa huyu mdada tafadhali

usiteseke na situation ambayo ipo beyond repair.

Kweli, lakini naifikiria kama ndo inanitokea mimi au ndugu wa karibu ambaye kwa vyovyote lazima linihusu. Daa dunia hiiiiii, bora waliokufa.
 
huyu dada aangalie anataka ndoa yake au mtoto

Haswaaa apo stori inaanza kuwa tamu . sikuizi maisha magumu sana napia wako wanao hitaji ndoa na wana tamani sana, lkn hawajafanikiwa.Je wataka mtoto au ndoa? Ningekua mimi kiukweli ningetoa hiyo mimba, ninge enda kutubu then sihitaji mawasiliano yeyote na huyo ngurumbili abaki na familia yake, nami nakua nimejifunza kutokana na makosa. SIKUIZI MIMBA ZINATOLEWA SANA HATA KAMA MIEZI 3. CHA MSINGI MUONE DK NASIO WHITCH DK.
 

Marahaba

Mwambie ambambike tu mme wake si ndo tabia zenu siku hizi
 
Marahaba

Mwambie ambambike tu mme wake si ndo tabia zenu siku hizi

Umeona eheheheeeeeeee!!!nimetoa ushauri kama wako klokwini ametaka kunimeza mzima mzima mpwa yaani we acha tu kwani unfikiria kwa nini DNA test tanzania haifanyi kazi na ukijaribu unakuta na huyo unayejidai kuwa ni mtoto kipenzi si wako!!nashangaa anavyopata shida ya ushauri badala ya kusafiri aliko mwanaume wake wale tunda la roho halafu baada ya kurudi atoe taarifa ya ujauzito kisha aongee na manesi wa mwananyamala kurudisha nyuma tarehe za kukonsivu!!

Hahahahahaha
 
:twitch:Salamu kwa malaya woteeeeeeeeeeeeeee hasa wale wake za watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mimba zaidi zitakuja hapa! Hata HIV hamwogopi jamani? Ndo sema waume zenu hawawakuni ipasavyo au? Tamaa zenu ndo kaburi lenu!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S 20:

Daaa kaka/dada angu mpendwa ni kweli mambo kama haya yanauma lakini hasira kupita kiasi sio nzuri sana, hata lugha kali kupita kiasi haiponyi pia, tupo duniani hatuijui kesho yetu, leo hilo limemkuta hatujui kesho sisi litatukuta lipi. Tusiwe na haki kupita kiasi. Yaweza mtokea mtu wa karibu sana na sisi au huyu ambaye hatumfahamu pia. Lakini imagine mtoto wako akikunyea mkononi utaukataka mkono?? Take her/them kama binti yako afu u RE-THINK!!!
 
Mawasiliano yamesitishwa anasubiri nn?
fasta
 

Mmmmmm labda huyo ni Raisi mtarajiwa?????????? Nasubiri dongo hapo!!!!
 
simshauri huyu kutoa mimba kwasababu ameshamsaliti jamaa yake, basi ajifungue tu na kuhusu ndoa yao watayazungumza jamaa akijakumaind basi hamna ujanja. Hayo ndio madhara ya kukaa mbali na mwenzi wako inauma sana.

sasa moto ya mbongo humshauri kutoitoa mimba unafikiri nani atamtaka kati ya hao wawili huyo mwenye kibendi kaisha mtolea nje je akija huyo wa nje? Kama kufa ni siku yako imefika utakufa tuuu. Akatoe mimba.
 
mmmmmm labda huyo ni rahisi mtarajiwa?????????? Nasubiri dongo hapo!!!!

rahisi mtarajiwa bongo ndugu yangu!!!! Hapo aangalie maslai yake bwana. Kesha pigwa kibuti na jamaa wa mtu huyo

rasi mtarajiwa atakula nini ndugu.
 
rahisi mtarajiwa bongo ndugu yangu!!!! Hapo aangalie maslai yake bwana. Kesha pigwa kibuti na jamaa wa mtu huyo

rasi mtarajiwa atakula nini ndugu.

Mmmmh hiii dunia bwana, mi nasemaga bora waliokufa wamejipumzisha zao, ingawa sijui huko kusikoonekana kuna nini.
 
asante LD kuna waliosema mimi hata siku moja siku ya siku yuko shimoni unamuuliza kulikoni majibu anakuwa hana

 

Insanity is doing the same thing again and again, and then somehow do expect different results!
 
Wangwana acheni kuruka ruka na kujifanya watakatifu sana na mahakimu, kila mmoja wetu anajua jinsi sahihi ya kuclear hii mess ni kuitoa hiyo mimba full stop.
Aende hospitali kubwa inatolewa kitaalamu na usalama ni asilimia 99.9,
 
Azae tu, kama anaipenda ndoa yake kwanini kakubali kushika hiyo mimba? (hukutumia kinga)!, kiumbe hakina kosa, ashafulia asuuze tu na kuanika ajipange kulea mtoto, kama atasaidiwa kulea na either of the two Guyz its okey ila asiongeze zambi juu ya nyingine kwa kutoa hiyo mimba. kingine chondechonde asivunje ndoa ya watu
 
Hakuna cha kutoa mimba hapo. Yeye afungashe virago kabisa akae standby. Kisha angoje huyu mume wake yuko nyumbani i mean huko ulaya sasa. Kama anasoma ahakikishe hana mtihani by that time. amwambie ukweli ali cheat na ana mimba. Aombe msamaha kama akisamehewa well and gud kama hatasamehewa basi! ajue ndoa kwishne! ila ati kutoa mimba i dont support and i will neve support unless a Dr. recommends
 
Mshahara wa dhambi mauti bali kalama ya Mungu ni uzima wa milele. Huruma yangu tuu ni kwa mume aliyeenda kusota kutafuta maisha, na kumbe mwingine huku anafanya mafyongo yake.
 

Nitafikisha ujumbe broda
 

Nitafikisha ujumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…