LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
usiteseke na situation ambayo ipo beyond repair.
Kweli, lakini naifikiria kama ndo inanitokea mimi au ndugu wa karibu ambaye kwa vyovyote lazima linihusu. Daa dunia hiiiiii, bora waliokufa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usiteseke na situation ambayo ipo beyond repair.
Mwezi mmoja na nusu
huyu dada aangalie anataka ndoa yake au mtoto
Nawasalimu tena kwa mara ya pili wakubwa shikamooni wadogo habari zenu.
Wakubwa naombeni msaada wenu wa mawazo,kuna mdada rafiki yangu na jirani yangu pia mumewe yuko nje ya nchi mie sikujua kumbe ana mwanaume anacheat nae,na ktk uhusiano wao mdada amepata mimba anataka aitoe ili kunusuru ndoa yake,alipomshirikisha jamaa anaecheat nae kuwa waitoe hy mimba jamaa kamjia juu sana na kumwambia hakuna kutoa na wala hajawahi kufanya hivyo! Ajabu sasa jamaa nae ana mke na watoto wanne!kwa sasa jamaa amesitisha mawasiliano yote ya simu na email hadi facebook kablock kisa hataki mimba itolewe,huyu mdada kachanganyikiwa alifanya siri lkn juzi kati hapa ilibidi anishirikishe kutaka ushauri,naombeni mawazo yenu juu ya huu utata wa hawa wenye ndoa.
Marahaba
Mwambie ambambike tu mme wake si ndo tabia zenu siku hizi
:twitch:Salamu kwa malaya woteeeeeeeeeeeeeee hasa wale wake za watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mimba zaidi zitakuja hapa! Hata HIV hamwogopi jamani? Ndo sema waume zenu hawawakuni ipasavyo au? Tamaa zenu ndo kaburi lenu!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S 20:
Haswaaa apo stori inaanza kuwa tamu . sikuizi maisha magumu sana napia wako wanao hitaji ndoa na wana tamani sana, lkn hawajafanikiwa.Je wataka mtoto au ndoa? Ningekua mimi kiukweli ningetoa hiyo mimba, ninge enda kutubu then sihitaji mawasiliano yeyote na huyo ngurumbili abaki na familia yake, nami nakua nimejifunza kutokana na makosa. SIKUIZI MIMBA ZINATOLEWA SANA HATA KAMA MIEZI 3. CHA MSINGI MUONE DK NASIO WHITCH DK.
simshauri huyu kutoa mimba kwasababu ameshamsaliti jamaa yake, basi ajifungue tu na kuhusu ndoa yao watayazungumza jamaa akijakumaind basi hamna ujanja. Hayo ndio madhara ya kukaa mbali na mwenzi wako inauma sana.
mmmmmm labda huyo ni rahisi mtarajiwa?????????? Nasubiri dongo hapo!!!!
rahisi mtarajiwa bongo ndugu yangu!!!! Hapo aangalie maslai yake bwana. Kesha pigwa kibuti na jamaa wa mtu huyo
rasi mtarajiwa atakula nini ndugu.
Daaa kaka/dada angu mpendwa ni kweli mambo kama haya yanauma lakini hasira kupita kiasi sio nzuri sana, hata lugha kali kupita kiasi haiponyi pia, tupo duniani hatuijui kesho yetu, leo hilo limemkuta hatujui kesho sisi litatukuta lipi. Tusiwe na haki kupita kiasi. Yaweza mtokea mtu wa karibu sana na sisi au huyu ambaye hatumfahamu pia. Lakini imagine mtoto wako akikunyea mkononi utaukataka mkono?? Take her/them kama binti yako afu u RE-THINK!!!
... mumewe yuko nje ya nchi mie sikujua kumbe ana mwanaume anacheat nae,na ktk uhusiano wao mdada amepata mimba anataka aitoe ili kunusuru ndoa yake,alipomshirikisha jamaa anaecheat nae kuwa waitoe hy mimba jamaa kamjia juu sana na kumwambia hakuna kutoa na wala hajawahi kufanya hivyo!
Hivi unapo mess around na mwanaume wa mtu na huku ukijijua kuwa nawe una ndoa yako halafu ghafla bin vuuu ishu kama hizo zinatokea hapo utaanza vipi kumshauri mtu, tena wakati wanafanya pekupeku kama vile wameambiwa chako changu, changu chako walitegemea mimba insingeshika na patamu zaidi huyu ana mumewe na yule naye ana mke
Hakuna cha kutoa mimba hapo. Yeye afungashe virago kabisa akae standby. Kisha angoje huyu mume wake yuko nyumbani i mean huko ulaya sasa. Kama anasoma ahakikishe hana mtihani by that time. amwambie ukweli ali cheat na ana mimba. Aombe msamaha kama akisamehewa well and gud kama hatasamehewa basi! ajue ndoa kwishne! ila ati kutoa mimba i dont support and i will neve support unless a Dr. recommends