Asante kwa changamoto naomba unisaidie njia nayo weza kusafirisha bidhaa hizo tafadhali
Maana ndo lengo la kuweka uzi huu nmeyaona makosa yangu nataka nijirekebishe
kwanza nakupongeza kwa kuwa na good market ya kazi zako unazo fanya.inategemea unapelwka wapi mizigo yako kama mkoani si unatumia mabasi si wana huduma ya kusafirisha mizigo maana ukisafirisha mzigo unalipia na wanakupa risiti.mimi naona njia rahisi kwako ni kwa kutumia mabasi tuHabari zenu wana jf
Nmekua nkipata tenda mbalimbali nje ya dar watu wakihitaj kazi zangu kama vile printed tshirts,lebo za bidhaa ila nmeshindwa kufanya nao kazi kutokana na kutofahamu njia salama ambayo naweza kuhakikisha wanapata kazi zangu pale wanapohitaji
Naomba wanajf mnisaidie namna ninayoweza kusafirisha kazi hizo katika vifurushi vidogo na kuhakikisha zinafika kwa walengwa
Msaada wenu ni muhimu kwangu kwan nmedhamiria kupanua soko la kaz zangu
Shukurani
Asante mkuu vp kuusu kutumia mabasi ya mkoani kama dar express