Msaada wako tafadhali kuhusu Modem k3772-z

Msaada wako tafadhali kuhusu Modem k3772-z

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada wa..... hebu ngoja nitoe kwanza maelezo ili mjue nahitaji nini. Hapo mwanzo nilikuwa naitumia modem tajwa hapo juu lkn sijui nilikosea wapi ile setup ikaondoka nasasa hivi haipo mwanzoni nilikuwa nikichomeka modem kwa mara ya kwanza inajiinstall na kubaki na icon yake kwenye desk top, kwa sasa hiyo kitu hakuna. ninachohitaji ni kupata set up yake ili ni install kwenye computer yangu.

WIN_20210930_19_58_37_Pro (2).jpg
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada wa..... hebu ngoja nitoe kwanza maelezo ili mjue nahitaji nini. Hapo mwanzo nilikuwa naitumia modem tajwa hapo juu lkn sijui nilikosea wapi ile setup ikaondoka nasasa hivi haipo mwanzoni nilikuwa nikichomeka modem kwa mara ya kwanza inajiinstall na kubaki na icon yake kwenye desk top, kwa sasa hiyo kitu hakuna. ninachohitaji ni kupata set up yake ili ni install kwenye computer yangu.

View attachment 1958603
Mjomba hii sio modem Ni kimeo nimetumia modem za zte, vivo na hii kifupi nyingi huwa na haya matatizo na wakati mwingine uki update inasolve kwa muda tu, kisha inaleta huo usumbufu, modem zipo huawei tu sijui kwingine.

Hii kitu nafikiri insapoti windows za zamani kama 7n.k sio nzuri kwa ten.

Anyway ingia Vodafone tafuta model namba hiyo hapo kwenye picha jaribu kudownload kisha chomeka modem install na Subiri ikamilike uturudishie feedbavk hiyo modem huwa ni sumbufu sana
 
Nimetafuta sana lkn sijapata ndio maana nikaja huku nikijua wataalamu jf wapo na njua hawashindwi kitu sema bado nasubiria
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema naomba msaada wa..... hebu ngoja nitoe kwanza maelezo ili mjue nahitaji nini. Hapo mwanzo nilikuwa naitumia modem tajwa hapo juu lkn sijui nilikosea wapi ile setup ikaondoka nasasa hivi haipo mwanzoni nilikuwa nikichomeka modem kwa mara ya kwanza inajiinstall na kubaki na icon yake kwenye desk top, kwa sasa hiyo kitu hakuna. ninachohitaji ni kupata set up yake ili ni install kwenye computer yangu.

View attachment 1958603
Watu walishaondoka kwenye modern wanatumia hotspot +WiFi za simu . Hukwo watu walishaondoka siku nyingi
 
Watu walishaondoka kwenye modern wanatumia hotspot +WiFi za simu . Hukwo watu walishaondoka siku nyingi
Mimi mwenyewe natumia hotspot lakini hii ni kwa ajili ya kazi za kanisani
 
Si kweli. Shida ya kutumia hotspot ya simu
1. Kuna baadhi ya application zitarun ambazo zinakula data. Mzigo unakuwa mkubwa na speed inapungua
2. Mtu kapiga simu au katuma meseji. Mtandao unapungua speed au kukata.
Fikiria unapakua file za GB 20, halafu kuna sehemu unaenda. Utaacha simu ili mzigo uendelee?
Modem na Router ni muhimu sana.
Km jana, nilikuwa na upload file za 4GB kupitia simu, ilibidi nitoe laini niweke kwenye modem
Watu walishaondoka kwenye modern wanatumia hotspot +WiFi za simu . Hukwo watu walishaondoka siku nyingi
 
Back
Top Bottom