Msaada wako

Msaada wako

Senior Lecturer

Senior Member
Joined
Jan 19, 2013
Posts
177
Reaction score
74

Wana JF, mimi ni mwajiriwa wa serikali! Nina mkopo wa tpb tangu mwaka jana, mikopo ambayo waajiriwa hudhaminiwa na mwajiri! Mwaka huu nataka niende kufanya Msc (ughaibuni), kwa mazingira ya ofisini kwetu najua sintakubaliwa! Kwanza ni kwa sababu hawana utaratibu wa kusomesha waajiriwa wao ktk ngazi za juu za elimu kama degree na Masters degree (hz roho mbaya zetu na chuki, hili hata sisi wafanyakazi tunalifahamu). Pili, kwa kuwa na mkopo ndio kabisaa, kikwazo cha wazi wazi! Sasa mimi nimeamua kujilipua (vijana wanasema kama mbwai mbwai). Nipo tayari kuondoka na kupoteza ajira yangu. Ushauri kama kuna madhara kisheria ambayo yatakuja kunicost mimi kama mwajiriwa ama familia yangu na hasa vitega uchumi ambavyo navimiliki (nina uhakika watajaribu kunifuatilia kutaka kujua kipi kinaendelea)!
 
Back
Top Bottom