msaada wakupata hak iyangu

hesalieyo

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2012
Posts
378
Reaction score
380
habari za jioni wana jf,nimekuwa nikifanya kazi kwa m2 binafsi kwa zaidi ya miezi 8,lakini tarehe 1,mwezi huu,amekuja ofisini na kunitaka nimkabidhi ofisi yake na vi2 vingine nlivyokuwa nimekabidhiwa, nami nikafanya ivyo,nikamkabidhi kila kitu salama, chakushangaza, hakunilipa mshahara,wangu akidai, atanipa kesho, yake, mpaka mudahuu hajanilipa anasema anataka akague, kama kunakitu, nimemuibia ili anikate mshahara, sina pakwenda nikimpigia simu hapokei alafu naona nikienda police atahonga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…