Msaada wakuu, binti anaomba kazi yuko Mwanza

Msaada wakuu, binti anaomba kazi yuko Mwanza

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,711
Reaction score
3,279
Habari wakuu
Naomba kwa mwenye mchongo wa kazi kwa binti.
Anaishi na bibi yake na bahati mbaya kapunguzwa kazin kwenye kampuni ya usafi na yeye ndio tegemeo kwa bibi yake.

Yuko Mwanza Igoma ana miaka 23 elimu yake kidato cha nne.

Namba yangu ni 0764 339 400 kwa ataeguswa kumsaidia.

Asanteni familia ya JF.
 
Habari wakuu
Naomba kwa mwenye mchongo wa kazi kwa binti.
Anaishi na bibi yake na bahati mbaya kapunguzwa kazin kwenye kampuni ya usafi na yeye ndio tegemeo kwa bibi yake.

Yuko Mwanza Igoma ana miaka 23 elimu yake kidato cha nne.

Namba yangu ni 0764 339 400 kwa ataeguswa kumsaidia.

Asanteni familia ya JF.
Njoo pm
 
Habari wakuu
Naomba kwa mwenye mchongo wa kazi kwa binti.
Anaishi na bibi yake na bahati mbaya kapunguzwa kazin kwenye kampuni ya usafi na yeye ndio tegemeo kwa bibi yake.

Yuko Mwanza Igoma ana miaka 23 elimu yake kidato cha nne.

Namba yangu ni 0764 339 400 kwa ataeguswa kumsaidia.

Asanteni familia ya JF.
Anataka kazi gani na malipo ya kiasi gani??
 
Habari wakuu
Naomba kwa mwenye mchongo wa kazi kwa binti.
Anaishi na bibi yake na bahati mbaya kapunguzwa kazin kwenye kampuni ya usafi na yeye ndio tegemeo kwa bibi yake.

Yuko Mwanza Igoma ana miaka 23 elimu yake kidato cha nne.

Namba yangu ni 0764 339 400 kwa ataeguswa kumsaidia.

Asanteni familia ya JF.
Wachek was kampuni ya mabasi ya Til is ho wanataka watu
 
Mie aniuzie meza ya matunda hapo hapo igoma na awe anauza na ndizi pia. Iyo laki ataipata nadhani. Yaani yeye atakuwa boss atakuwa ananilipa mie. Mie naweka tu mtaji yeye akomae Sasa wote tupate hela. Ndizi mbichi pia anauza
 
Kuandika rahisi
Mie aniuzie meza ya matunda hapo hapo igoma na awe anauza na ndizi pia. Iyo laki ataipata nadhani. Yaani yeye atakuwa boss atakuwa ananilipa mie. Mie naweka tu mtaji yeye akomae Sasa wote tupate hela. Ndizi mbichi pia anauza
Kanambia ashafanya ya hivi ila changamoto ni kuwa unakuta siku mauzo yakiwa madogo boss anachukua pesa yote nasema si unaona leo hela sio nyingi.
 
Aje Morogoro kwenye makampuni ya sukari afanye kazi shambani kuokota miwa inayododondoka barabarani. Mshahara laki mbili kwa mwezi, maladhi,uji na chakula cha mchana anapewa na kampuni bure
 
Aje Morogoro kwenye makampuni ya sukari afanye kazi shambani kuokota miwa inayododondoka barabarani. Mshahara laki mbili kwa mwezi, maladhi,uji na chakula cha mchana anapewa na kampuni bure
Msaidie mkuu .
 
Kanambia ashafanya ya hivi ila changamoto ni kuwa unakuta siku mauzo yakiwa madogo boss anachukua pesa yote nasema si unaona leo hela sio nyingi.
Ukiishi na mchina mmoja basi unamtumia huyo huyo mmoja kuwajulia tabia wachina wote yaani mmoja akiwa mbaya wote wanakuwa wabaya..
 
Back
Top Bottom