Msaada Wakuu: Kwa Nia njema kabisa.

Msaada Wakuu: Kwa Nia njema kabisa.

Mwalaye

Senior Member
Joined
Jun 17, 2021
Posts
171
Reaction score
233
Ni nini stahiki za hawa watu wawili:
1.) Ameachishwa kazi akiwa na umri wa miaka 56, na ametumikia Serikalini muda wa miaka 36.
2.) Amefukuzwa kazi akiwa na miaka 58, na ametumikia Serikalini miaka 40.

Naomba msaada wenu tafadhali.
 
Ni nini stahiki za hawa watu wawili:
1.) Ameachishwa kazi akiwa na umri wa miaka 56, na ametumikia Serikalini muda wa miaka 36.
2.) Amefukuzwa kazi akiwa na miaka 58, na ametumikia Serikalini miaka 40.

Naomba msaada wenu tafadhali.
Kama alichangia mifuko ya hifadhi kwa muda usiopungua miaka kumi na mitano, ana haki ya kupata Pension.
 
Ni nini stahiki za hawa watu wawili:
1.) Ameachishwa kazi akiwa na umri wa miaka 56, na ametumikia Serikalini muda wa miaka 36.
2.) Amefukuzwa kazi akiwa na miaka 58, na ametumikia Serikalini miaka 40.

Naomba msaada wenu tafadhali.
Haki ya huyo Mtu wako utaipata pale tu ukituliza Akili zako na ukijua pia kuyatofautisha Kimantiki ( Logically ) na Kisheria ( Legally ) haya Maneno mawili uliyoyatumia hapa Kiuwasilishaji ya Ameachishwa Kazi na Amefukuzwa Kazi.

Kila Ia Kheri.
 
Atapata pesa zake,alizochangia kwenye mifuko..
 
Haki ya huyo Mtu wako utaipata pale tu ukituliza Akili zako na ukijua pia kuyatofautisha Kimantiki ( Logically ) na Kisheria ( Legally ) haya Maneno mawili uliyoyatumia hapa Kiuwasilishaji ya Ameachishwa Kazi na Amefukuzwa Kazi.

Kila Ia Kheri.
Nakazia. Kama kwa akili zake mwenyewe hawezi kuyatofautisha, basi sio mbaya kama akienda kuomba msaada wa Ufafanuzi kwa Watu/Wataalam (Rasilimali- watu i.e. Maafisa Utumishi (HRO) wanayaelewa vizuri).
 
Nakazia. Kama kwa akili zake mwenyewe hawezi kuyatofautisha, basi sio mbaya kama akienda kuomba msaada wa Ufafanuzi kwa Watu/Wataalam (Rasilimali- watu i.e. Maafisa Utumishi (HRO) wanayaelewa vizuri).
Nimeuliza stahiki, sijauliza tofauti!
Tofauti naijua vizuri sana kuliko unavyofokiri.
Kwa majibu yako hayo nadhani hata shule nimekuzidi kwa mbali sana!
 
S

Sorry, ni kwa wote wawili au kwa yule aliyeachishwa kazi?
Mifuko ya hifadhi haiangalii kama umeacha kazi, umefukuzwa au umestaafu.

Wao wanachoangalia Ni kama michango yako ipo na umechangia kwa muda gani.

Kisheria ukichangia kwa miezi 180 ( miaka 15 ) una sifa ya kupata Pension kama wastaafu wengine.

Kama hujachangia kwa miaka 15 then Happ hutapata pension ila utapewa either.

1- Upewe Fao la KUTOKUWA na AJIRA ( 33.3% ya mshahara wako was mwisho kwa muda wa miezi 6 ) wakiamini baada ya muda huo utapata kazi sehemu nyingine uendeleze mfuko wako.

2- Kama kazi uliyokuwa unafanya siyo ya kitaaluma kama Ulinzi, Jeshi, Kibarua then kama hujachangia miaka 15 unaweza kupewa Fao la kujitoa kwa maana fungu lako lote ulilochangia.

3- Kama hujachangia miaka 15 halafu umeshafikisha miaka ya kustaafu ( 55 au 60 ) Nadhani utapewa tu michango yako ulilochangia basi unakula Kona. Hakuna Pension ya kila mwezi.

Note: Kumbuka pension na fao la kila mwezi hutumia kikokotoo tofauti.

Lakini fao la kujitoa maana yake unapewa michango yako yote ulilochangia ndani ya mfuko basi.
 
Nimeuliza stahiki, sijauliza tofauti!
Tofauti naijua vizuri sana kuliko unavyofokiri.
Kwa majibu yako hayo nadhani hata shule nimekuzidi kwa mbali sana!
Sawa Mkuu. Sasa aende akapate stahiki zake.
 
Mifuko ya hifadhi haiangalii kama umeacha kazi, umefukuzwa au umestaafu.

Wao wanachoangalia Ni kama michango yako ipo na umechangia kwa muda gani.

Kisheria ukichangia kwa miezi 180 ( miaka 15 ) una sifa ya kupata Pension kama wastaafu wengine.

Kama hujachangia kwa miaka 15 then Happ hutapata pension ila utapewa either.

1- Upewe Fao la KUTOKUWA na AJIRA ( 33.3% ya mshahara wako was mwisho kwa muda wa miezi 6 ) wakiamini baada ya muda huo utapata kazi sehemu nyingine uendeleze mfuko wako.

2- Kama kazi uliyokuwa unafanya siyo ya kitaaluma kama Ulinzi, Jeshi, Kibarua then kama hujachangia miaka 15 unaweza kupewa Fao la kujitoa kwa maana fungu lako lote ulilochangia.

3- Kama hujachangia miaka 15 halafu umeshafikisha miaka ya kustaafu ( 55 au 60 ) Nadhani utapewa tu michango yako ulilochangia basi unakula Kona. Hakuna Pension ya kila mwezi.

Note: Kumbuka pension na fao la kila mwezi hutumia kikokotoo tofauti.

Lakini fao la kujitoa maana yake unapewa michango yako yote ulilochangia ndani ya mfuko basi.
Asante sana Mkuu, taarifa nzuri sana.
 
Back
Top Bottom