Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni - JamiiForumsRejea hapo juu mimi nimeamua kujihusisha na kuagiza bidhaa kwa jumla kwa wastani ambao si zaidi ya piece 50 kwenye product ndogondogo kama saa,usb n.k. Naomba kujuzwa suala la shipping katika Alibaba linaendaje maana aliexpress unaposelect bidhaa wanakupa shipping option na bei yake lakini huku Alibaba sijaona kitu hicho wakuu
Na alibaba vitu kwa bei ya jumla ndio cheap zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimefuatilia lakini naona hapa ebay sawa na aliexpress ambapo unaselect bidhaa tayari shipping option ipo mfano watakwambia free shipping au via DHL na kiasi narud in case of alibaba hakuna shipping option kua watatumia DHL au free swali ni kua hapo inakuaje
Njia za kukwepa kuibiwa ukinunua vitu Mtandaoni, Hasa Alibaba na Aliexpress - JamiiForumsMkuu nimefuatilia lakini naona hapa ebay sawa na aliexpress ambapo unaselect bidhaa tayari shipping option ipo mfano watakwambia free shipping au via DHL na kiasi narud in case of alibaba hakuna shipping option kua watatumia DHL au free swali ni kua hapo inakuaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata mimi nilikuwa napenda nifahamu vizuri kuhusu kuagiza mizigo alibaba sema ndo hivyo humu wengi wanabana hawataki kutoa connectionRejea hapo juu mimi nimeamua kujihusisha na kuagiza bidhaa kwa jumla kwa wastani ambao si zaidi ya piece 50 kwenye product ndogondogo kama saa,usb n.k. Naomba kujuzwa suala la shipping katika Alibaba linaendaje maana aliexpress unaposelect bidhaa wanakupa shipping option na bei yake lakini huku Alibaba sijaona kitu hicho wakuu
Na alibaba vitu kwa bei ya jumla ndio cheap zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea hapo juu mimi nimeamua kujihusisha na kuagiza bidhaa kwa jumla kwa wastani ambao si zaidi ya piece 50 kwenye product ndogondogo kama saa,usb n.k.
TARATIBU ZA MANUNUZI ALIBABA NI HIZIAta mimi nilikuwa napenda nifahamu vizuri kuhusu kuagiza mizigo alibaba sema ndo hivyo humu wengi wanabana hawataki kutoa connection
bado sielewi mzigo wa jumla inahitaji uwe na kiasi gan?
Ondoa hii dhana, Acha kuwa na mawazo hasi, Kuwa na mawazo chanya, Wengi wamefanikiwa na wanaendesha maisha yao kutokana na michango ya wana JF wengine.sema ndo hivyo humu wengi wanabana hawataki kutoa connection
case of alibaba hakuna shipping option kua watatumia DHL au free swali ni kua hapo inakuaje
NduguUnajua maana ya alibaba??unaweza subiri mzigo mwaka
Mkuu hujatafuta tu, mbona vitu karibu vyote viliisha jadiliwa humu, chimba mkuu kila kitu kipo humu humu JF.Ata mimi nilikuwa napenda nifahamu vizuri kuhusu kuagiza mizigo alibaba sema ndo hivyo humu wengi wanabana hawataki kutoa connection
bado sielewi mzigo wa jumla inahitaji uwe na kiasi gan?
seller anaweza akaandika min order piece 50 lakini bado sielewi hizo ni sample kwanza au ndo mzigo wa jumla?
-
nimejaribu kutaka kununu usb moja ya 16 gb dola 4 shipping fee wananiambia dola 25 hapa inakuaje?TARATIBU ZA MANUNUZI ALIBABA NI HIZI
- Chagua bidhaa unayohitaji
1. Angalia sehemu ya mawasiliano na mawasiliano yafanyike ukiweka wazi
- Idadi ya mzigo unayohitaji
- Mahali mzigo unapelekwa
- Njia ya usafirishaji unayotaka itumike kulingana na ukubwa wa mzigo
- Njia ya malipo utakayoitumia
2. Atakupatia Quotation kulingana na hayo mliyojadili, utaipitia, na iwapo utalizika basi atakupa Performa invoice {Manunuzi + Usafirishaji hadi mahala aulipo} tayari kwa wewe kulipia
3. Utafanya malipo husika
4. Utasubiria mzigo wako uweze kufika nchini
5. Baada ya mzigo kufika nchini, taratibu za clearance zitafuata.
6. Utawajibika kulipia kodi /vat iwapo utatakiwa kufanya hivyo na mamlaka husika
NAKUTAKIA KHERI YA MWAKA 2019
www.bit.ly/101buy4me
Mkuu unajua huyu jamaa hapo awezi kupata seller ataesafirisha mzigo wa pieces 50 hiyo ni kama sample na wanaship kwa siku 5-7 na gharama zake za kuship zinakuwa mara nne ya mzigo ni hasara mana wanatumia dhl mimi nilikuwa nataka nijue minmu order ni kiasi gani kuagiza mzigo na wakakubali kuship kwa meli mana bidhaa nazotaka kununua zipo alibaba tuMkuu hujatafuta tu, mbona vitu karibu vyote viliisha jadiliwa humu, chimba mkuu kila kitu kipo humu humu JF.
Ni sahihinimeagiza usb moja ya 16 gb dola 4 shipping fee wananiambia dola 25 hapa inakuaje?
Sahihi kabisa,gharama zake za kuship zinakuwa mara nne ya mzigo ni hasara mana wanatumia dhl mimi nilikuwa nataka nijue minmu order ni kiasi gani
mi naonaNi sahihi
- Sababu wanatuma kwa njia ya express
- Ukitaka upate ghalama nafuu ambapo njia ya usafirishaji ni yakawaida angalia kwenye retail sites kama ALIEXPRESS, EBAY, BANGOOD, GEARBEST na zingine.
Ni sahihi
- Sababu wanatuma kwa njia ya express
- Ukitaka upate ghalama nafuu ambapo njia ya usafirishaji ni yakawaida angalia kwenye retail sites kama ALIEXPRESS, EBAY, BANGOOD, GEARBEST na zingine.
Taarifa za manunuzi anazo kupitia sellers portal ya site husika.kumtafuta muuzaji ili nimjulishe kama nimelipia mzigo au it is not necessary ataona tu mwenyewe au wata ni email? n
shukran sana mkuu,nimejifunza kitu kikubwa sana,kad yangu niliifanya iweze kununu vitu mtandaoni mwaka juzi but nilikua nanunulia domaon name godady sio kununulia items,this time naweza kujikita kwenye manunuzi ya items long live JFTaarifa za manunuzi anazo kupitia sellers portal ya site husika.
Subiri ndani ya siku 2 hadi 5 muuzaji ataweka update kuhusu usafirishaji wa bidhaa yako.