Msaada wakuu: Nataka kufungua Restaurant

Msaada wakuu: Nataka kufungua Restaurant

Matendo Andrew

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
748
Reaction score
367
Nahitaji sehemu ya kufungua restaulant
ya kwaida yenye kuhudumia watu 10 mpaka 15
vyakula vya uhakika ni wali ugali,pilau, biliani
supu chai na vyakula kwa oda, ni maeneo gani
mazuri kwa hapa dar na flem nahitaji isiyo zidi
50,000/= kwa mwezi. 0714 045 080. serious wakuu.
 
KUNA MGAHAWA UNAPANGISHWA KIGAMBONI KWA URASA


  1. Mgahawa una kila kitu,(Majiko ya mkaa, Masufuria, Hotpot, Freezer kubwa, TV na King'amuzi,Brenda,Kabati ya Bites, Meza za wateja na Viti vyake, sehemu ya chipsi na vifaa vyake, na kila kitu kinachohitajika kwenye mgahawa)
  2. Eneo limechangamka sana na lina wanafunzi wa vyuo wengi, vyuo kama IFM, Magogoni, CBE na Mwl. Nyerere.
  3. Ni pakubwa na pana hewa ya kutosha, pia pamejengwa kisasa sana.

:yo:KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA: 0713 741 758:yo:​


 
Sehemu kama hii hata watu wasiojua bei za frem utawaona....kuwa makin mkuu..
 
Back
Top Bottom