Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu

Kataa ndoa na mahubiri yao. Sijui wana ajenda gani na hizi hadithi.
 
πŸ†vs kibamia
Shemeji kaamua kuraruliwa. Wewe mbele dogo nyuma.

Mkuu achana na huyo mke. Anakudhalilisha na kukufehesha mno. Uamuzi ni wako.
 
Hongera ni mtunzi mzuri, kama unatest kipaji chako, basi mie nakushauri andika kitabu/vitabu vya riwaya utauza sana. BIG UPπŸ‘
 
Achana nae maana kishaanza usodoma haachi na mkeo atakuwa anamuhonga pesa zako kusanya vitu vyake peleka kwao na ushahidi waoneshe hakufai .
 
Kwa hizo emoji unazoweka kwenye conversation yao unaonekana pimbi so jiandae atagawa tigo mpaka uombe poo
 
Lea watoto, hakuna ushauri wa kuweza kurejesha nyumba yako. Mwanamke kafanya maamuzi kwaajili yake furaha yake. Mda wako sasa ufanye maamuzi, na hapo nishauri chukua kids endelea na maisha.
 
Talaka baba talaka baba talaka baba talaka baba talaka baba tlaka baba mbona waichelewesha mpaka now hujatoa tu?
 
Leo una miaka 30, kwenya ndoano umenasa miaka 6. Maana yake,uliingia ukiwa na 24.
Leo,mkeo ana 25. Sasa iko hivi,wakati unaanza kuzini nae,kwa umri ule,na yeye alipofika umri huo huo,anafanya ulichokuwa ukimfanyia. Subiri atimize 30 na yeye ataacha,uaijali.
 
Daah!!! Pole sana mkuu tuliza kichwa na ufanye maamuzi sahihi.
 
Una akili sana. Tena sana. Dogo hana kosa kiuhalisia. Mwanamke kaamua. Japo kuna ukweli huwezi kuongea hapa,huenda ukawa ndo mchezo wake siku zote. Sema tu,hakukupaga.
Masenge mengine ukiwa unadate nayo,yanajitahidi kuficha,kikubwa tu ujae.

Kwanza kabisa,simu usirudishe,hiyo ni pesa.
Pili,hapo mke huna,sahau.
Tatu,hao watoto unaowaongelea,unajuaje ni wa kwako?

Ungefanya tu kitu kimoja. Watafute wamama wawili wa makamo,wanaojitambua. Mlete dogo,mkalishe pale,kistaarabu tu. Warudie waliyoyafanya kwa vinywa vyao. Tafuta nguvu ya ziada,kubali umepoteza,usimgombeze yeyote.
IKiwezekana,wapigie ndugu hata wawili au watatu,hata mzazi anaejielewa. Wakae kimya,wasikilize tu.

Baada ya hapo,mwambie mguu wake mguu wako,unamrudisha kwao na watoto wake. Uguza maumivu kwanza,huku unajitafakali kuanza maisha upya.
 
Lea watoto, hakuna ushauri wa kuweza kurejesha nyumba yako. Mwanamke kafanya maamuzi kwaajili yake furaha yake. Mda wako sasa ufanye maamuzi, na hapo nishauri chukua kids endelea na maisha.
Hahahahaha kwamba kitanda hakizai haramu. Unajuaje huenda wote wakawa na baba zao?
 
B
saiv ukishaoa ile miaka 7 ya mwanzon hakikisaha umemzalisha mwanamke watoto3 atulie kulea kwanza.

vinginevyo utachapiwa sana
Bado unakuwa hujamkomoa kaka kama unabisha niulize mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…