Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu

Msaada wakuu, nimekamata SMS za mke wangu akichati na kijana mdogo mambo ya ajabu

Mimi ni mtu mzima miaka 30 nina mke wa miaka 25 nina watoto 2 katika ndoa ya miaka 6 mpaka sasa.

Ndugu zanguni nina hasira nina hasira nina hasira sana Mungu tu anisimamie nisingie dhambini.

Kwa kifupi siku za hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita nilianza kuona manadiliko kwa mama watoto ila sikutilia maaanani kwasababu mm ni mtu mzima nina mengi ya kufanya siwezi kukaa kumfuatilia mwanamke muda wote yeye ni mtu mzima atajisimamia.

Yaani baada ya kuona hayo mabadiliko ndani ya miezi kadhaa. Kuna siku nilikuwa nyumbani sikwenda kazini, kama mida ya saa tatu asubuhi hivi kuna mtu nilikuwa natakuwasiliana nae ila dakika zangu ziliisha nikamwambia wife naomba hiyo simu yako nimpigie mtu mara moja akanipa.

Nikiwa na ile simu mkononi SMS iliingia namba ngeni lkn message iliyotumwa ilinistua kidogo nilipofungua ili niona kilichokuwa kinaendelea sikuona SMS zingine.nikamuuliza wife hii SMS inahusu nini na ninani huyu,alistuka ila akajikosha kwa kusema vijana wengine hawana adabu ngoja nimpigie mm staki ushenzi

Basi akapiga simu, ile inapokelewa tu hakusubiri hata huyo mtu azungumze alianza matusi WW KIJANA SMS GANI HIZI UNANITUMIA HUJUI MM NI MKE WA MTU NAOMBA TUHESHIMIANE NA UNIKOME KABISA SITAKI MAZOEA TENA UJISHIKILIE akakata simu.

Kama mtu mzima niligundua hawa watu walikuwa wanatongozana saiv anajikosha ila nikapotezea kwasabb mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida, nilichukuwa simu nikampigia niliyekuwa natakumpigia then nikamrudishia Simu yake.

Kaka siku zimeenda kufika usiku wa juzi mida ya saa Saba usiku SMS ikaingia kwa simu ya mke wangu nikastuka ile nageuka wife anazima mwanga wa simu afu anajifanya amesinzia ile nashika simu nakuta amekumbatia simu, nikamwambia naomba hiyo simu ananiuliza simu ya nn usiku huu baba fulani..nikachukuwa simu kwa nguvu

MKUSHI MKUSHI MKUSHI 😓😓sijui mwanamke alijua nimesinzia siwezi kustuka akawa anachati na mtu yuleyule wa kipindi cha nyuma tena pembeni yangu saa saba usiku.

Baadhi ya SMS zao ni kama hizi...

MWANAMUME: Mbona ulikuwaga unaogopa?

MKE WANGU: Weee kipindi kile nilikuwa naogopa kufanya nyuma😀

MWANAMUME: 😀😀😀Muone kwahiyo siku hizi umezoea?

MKE WANGU: Tena siku hizi usiponifanya nyuma sijiskii kama umani..😋

MWANAMUME: Angalia usije ukajisahau ukampa baba watoto

MKE WANGU: Subutuu halambi kitu hapa hii yako pekee 😀

Kaka mada ilikuwa ndefu niishie hapo (kumbuka hii simu anayotumia kunifanyia hivi mimi ndo nilimnunulia laki 6 na 80😓

Nilichoka nilitoka sebleni nililia kama mtoto kesho yake ambayo ni jana sikwenda kazin na tangu hiyo juzi sikurudisha Simu kwa wife

Nilichati na kijana kwa simu ya wife nikamwambia tukutane, bro sikuamini macho yangu, nilienda kukutana na kitoto kidogo cha miaka kama 20, 21 hivi jirani yetu ambaye anakusanya pesa kibanda umiza tunapoangalia mpira.

Kaka kwanza amenisaliti, siyo kunisaliti tu kanisaliti kwa katoto nachoweza kukazaa, basi aliamua kunisaliti kwa kitoto si bora basi wangefanya tu kawaida, amefikia kuleta laana kwa kizazi changu ,siyo laana tu ameamua kunidedhehesha mtaani.

Bro kwahiyo juzi simba day nipo banda umiza yule dogo anakusanya hela kwangu ila kimoyomoyo ananing'onga tu.

Wakati nakutana na dogo nilikuwa na sime nilimwambia simama sehemu nakukuta kweli nilienda nikamkuta ila nilisimama pembeni kidgo kisha nikapita bila kuongea nae nilitamani nimfanye kitu kibaya kuna sauti ikanambia una watoto wanakutegemea ondoka nenda

Bro mpaka dakika hii kitu pekee nilichomwambia wife ni kwamba siangaiki kukuuliza huyu ni nani make utanidanganya ila ole wako umtafte umwambie kwamba nina simu yako kwahiyo mpk leo sijaongea na rafiki sijaongea na ndugu wala huyo dogo hajajua kama nimejua kwasabb bado anaendlea kuchati ila hajui anachati na mm akijua ni wife.

Naomba unisaidie wazo nifanye maamzi gani ambayo ni sahihi.
Umekwisha kosea.

Wanaume tunafanya huvi: unachati naye kwa simu ya wife na kumwita geto kama wewe umesafiri vile. Akifika unawmuliza, na kwa kuwa ushahidi upo, unamwambia avue suruali. Wakati huo hakikisha mkeo anakuwepo. Unamwambia afanye anavyofanya kwa mkeo halafu na wewe unamfanya yeye kama anavyofanya kwa mkeo.

Akitoka hapo mwambie anaweza kuendelea na mambo yake akijisikia.
 
Mimi ni mtu mzima miaka 30 nina mke wa miaka 25 nina watoto 2 katika ndoa ya miaka 6 mpaka sasa.

Ndugu zanguni nina hasira nina hasira nina hasira sana Mungu tu anisimamie nisingie dhambini.

Kwa kifupi siku za hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita nilianza kuona manadiliko kwa mama watoto ila sikutilia maaanani kwasababu mm ni mtu mzima nina mengi ya kufanya siwezi kukaa kumfuatilia mwanamke muda wote yeye ni mtu mzima atajisimamia.

Yaani baada ya kuona hayo mabadiliko ndani ya miezi kadhaa. Kuna siku nilikuwa nyumbani sikwenda kazini, kama mida ya saa tatu asubuhi hivi kuna mtu nilikuwa natakuwasiliana nae ila dakika zangu ziliisha nikamwambia wife naomba hiyo simu yako nimpigie mtu mara moja akanipa.

Nikiwa na ile simu mkononi SMS iliingia namba ngeni lkn message iliyotumwa ilinistua kidogo nilipofungua ili niona kilichokuwa kinaendelea sikuona SMS zingine.nikamuuliza wife hii SMS inahusu nini na ninani huyu,alistuka ila akajikosha kwa kusema vijana wengine hawana adabu ngoja nimpigie mm staki ushenzi

Basi akapiga simu, ile inapokelewa tu hakusubiri hata huyo mtu azungumze alianza matusi WW KIJANA SMS GANI HIZI UNANITUMIA HUJUI MM NI MKE WA MTU NAOMBA TUHESHIMIANE NA UNIKOME KABISA SITAKI MAZOEA TENA UJISHIKILIE akakata simu.

Kama mtu mzima niligundua hawa watu walikuwa wanatongozana saiv anajikosha ila nikapotezea kwasabb mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida, nilichukuwa simu nikampigia niliyekuwa natakumpigia then nikamrudishia Simu yake.

Kaka siku zimeenda kufika usiku wa juzi mida ya saa Saba usiku SMS ikaingia kwa simu ya mke wangu nikastuka ile nageuka wife anazima mwanga wa simu afu anajifanya amesinzia ile nashika simu nakuta amekumbatia simu, nikamwambia naomba hiyo simu ananiuliza simu ya nn usiku huu baba fulani..nikachukuwa simu kwa nguvu

MKUSHI MKUSHI MKUSHI 😓😓sijui mwanamke alijua nimesinzia siwezi kustuka akawa anachati na mtu yuleyule wa kipindi cha nyuma tena pembeni yangu saa saba usiku.

Baadhi ya SMS zao ni kama hizi...

MWANAMUME: Mbona ulikuwaga unaogopa?

MKE WANGU: Weee kipindi kile nilikuwa naogopa kufanya nyuma😀

MWANAMUME: 😀😀😀Muone kwahiyo siku hizi umezoea?

MKE WANGU: Tena siku hizi usiponifanya nyuma sijiskii kama umani..😋

MWANAMUME: Angalia usije ukajisahau ukampa baba watoto

MKE WANGU: Subutuu halambi kitu hapa hii yako pekee 😀

Kaka mada ilikuwa ndefu niishie hapo (kumbuka hii simu anayotumia kunifanyia hivi mimi ndo nilimnunulia laki 6 na 80😓

Nilichoka nilitoka sebleni nililia kama mtoto kesho yake ambayo ni jana sikwenda kazin na tangu hiyo juzi sikurudisha Simu kwa wife

Nilichati na kijana kwa simu ya wife nikamwambia tukutane, bro sikuamini macho yangu, nilienda kukutana na kitoto kidogo cha miaka kama 20, 21 hivi jirani yetu ambaye anakusanya pesa kibanda umiza tunapoangalia mpira.

Kaka kwanza amenisaliti, siyo kunisaliti tu kanisaliti kwa katoto nachoweza kukazaa, basi aliamua kunisaliti kwa kitoto si bora basi wangefanya tu kawaida, amefikia kuleta laana kwa kizazi changu ,siyo laana tu ameamua kunidedhehesha mtaani.

Bro kwahiyo juzi simba day nipo banda umiza yule dogo anakusanya hela kwangu ila kimoyomoyo ananing'onga tu.

Wakati nakutana na dogo nilikuwa na sime nilimwambia simama sehemu nakukuta kweli nilienda nikamkuta ila nilisimama pembeni kidgo kisha nikapita bila kuongea nae nilitamani nimfanye kitu kibaya kuna sauti ikanambia una watoto wanakutegemea ondoka nenda

Bro mpaka dakika hii kitu pekee nilichomwambia wife ni kwamba siangaiki kukuuliza huyu ni nani make utanidanganya ila ole wako umtafte umwambie kwamba nina simu yako kwahiyo mpk leo sijaongea na rafiki sijaongea na ndugu wala huyo dogo hajajua kama nimejua kwasabb bado anaendlea kuchati ila hajui anachati na mm akijua ni wife.

Naomba unisaidie wazo nifanye maamzi gani ambayo ni sahihi.
Unatuchosha story za uongo na kutunga kutuumiza akiliiiii
 
Kosa halikuanza leo,, ULIKOSEA MBALI SANA,

Kabla ya kuoa ulizingatia kigezo gani? Ni dhahir ulivutiwa na uzuri wa binti hilo halipingiki, hukuangalia background ya mrembo wako,,,
Kwa mujibu wa Imani yangu nikuwa ".............na ukimpata mwenye dini umeula/utapata tulizo".
Unajua kwanini ulipaswa umtafute mwenye hofu na Mungu, ? Ile hofu ya Mungu ndio kitu pekee kitakacho mfanya aone aibu kumvulia nguo mtu mwingine au kuogopa u sodoma na ugomora na si vingine
Dunia hii ya sasa kaka mkubwa huu utandawazi unapoteza watu wengi sana, watu wanashawishika na mambo ya kijinga sana,

My take na ushauri kwako

Kaeni chini mzungumze tu japo hawezi kuacha asili yake, na wataendelea tu kuwasiliana kwa siri,
na wewe ningumu sana kumwamini tena, isipokuwa chukua ushauri huu KWA MASLAHI MAPANA NA WATOTO WAKO,
Kaa chini msamehe kwa lengo fulani, jifanye mjinga,
ukimwacha haraka watoto wako watateseka sana, subiri watoto wakue ila badae watoto wakifika stage fulani MUACHE, OA mwingine, huyo nyang'au(Sorry, ni mkeo) sio wa kumsamehe kirahisi,, ila kama ukijiridhisha ametulia basi tulia nae kuna wakati watu hubadilika, kama ukioa basi oa
kwakuzingatia vigezo hapo juu nilivyo kwambia
 
Bro mpaka dakika hii kitu pekee nilichomwambia wife ni kwamba siangaiki kukuuliza huyu ni nani make utanidanganya ila ole wako umtafte umwambie kwamba nina simu yako kwahiyo mpk leo sijaongea na rafiki sijaongea na ndugu wala huyo dogo hajajua kama nimejua kwasabb bado anaendlea kuchati ila hajui anachati na mm akijua ni wife.

Naomba unisaidie wazo nifanye maamzi gani ambayo ni sahihi

Mbona kama unatusimulia kitu kilichoelezwa na mtu mwingine?
 
Mimi ni mtu mzima miaka 30 nina mke wa miaka 25 nina watoto 2 katika ndoa ya miaka 6 mpaka sasa.

Ndugu zanguni nina hasira nina hasira nina hasira sana Mungu tu anisimamie nisingie dhambini.

Kwa kifupi siku za hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita nilianza kuona manadiliko kwa mama watoto ila sikutilia maaanani kwasababu mm ni mtu mzima nina mengi ya kufanya siwezi kukaa kumfuatilia mwanamke muda wote yeye ni mtu mzima atajisimamia.

Yaani baada ya kuona hayo mabadiliko ndani ya miezi kadhaa. Kuna siku nilikuwa nyumbani sikwenda kazini, kama mida ya saa tatu asubuhi hivi kuna mtu nilikuwa natakuwasiliana nae ila dakika zangu ziliisha nikamwambia wife naomba hiyo simu yako nimpigie mtu mara moja akanipa.

Nikiwa na ile simu mkononi SMS iliingia namba ngeni lkn message iliyotumwa ilinistua kidogo nilipofungua ili niona kilichokuwa kinaendelea sikuona SMS zingine.nikamuuliza wife hii SMS inahusu nini na ninani huyu,alistuka ila akajikosha kwa kusema vijana wengine hawana adabu ngoja nimpigie mm staki ushenzi

Basi akapiga simu, ile inapokelewa tu hakusubiri hata huyo mtu azungumze alianza matusi WW KIJANA SMS GANI HIZI UNANITUMIA HUJUI MM NI MKE WA MTU NAOMBA TUHESHIMIANE NA UNIKOME KABISA SITAKI MAZOEA TENA UJISHIKILIE akakata simu.

Kama mtu mzima niligundua hawa watu walikuwa wanatongozana saiv anajikosha ila nikapotezea kwasabb mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida, nilichukuwa simu nikampigia niliyekuwa natakumpigia then nikamrudishia Simu yake.

Kaka siku zimeenda kufika usiku wa juzi mida ya saa Saba usiku SMS ikaingia kwa simu ya mke wangu nikastuka ile nageuka wife anazima mwanga wa simu afu anajifanya amesinzia ile nashika simu nakuta amekumbatia simu, nikamwambia naomba hiyo simu ananiuliza simu ya nn usiku huu baba fulani..nikachukuwa simu kwa nguvu

MKUSHI MKUSHI MKUSHI 😓😓sijui mwanamke alijua nimesinzia siwezi kustuka akawa anachati na mtu yuleyule wa kipindi cha nyuma tena pembeni yangu saa saba usiku.

Baadhi ya SMS zao ni kama hizi...

MWANAMUME: Mbona ulikuwaga unaogopa?

MKE WANGU: Weee kipindi kile nilikuwa naogopa kufanya nyuma😀

MWANAMUME: 😀😀😀Muone kwahiyo siku hizi umezoea?

MKE WANGU: Tena siku hizi usiponifanya nyuma sijiskii kama umani..😋

MWANAMUME: Angalia usije ukajisahau ukampa baba watoto

MKE WANGU: Subutuu halambi kitu hapa hii yako pekee 😀

Kaka mada ilikuwa ndefu niishie hapo (kumbuka hii simu anayotumia kunifanyia hivi mimi ndo nilimnunulia laki 6 na 80😓

Nilichoka nilitoka sebleni nililia kama mtoto kesho yake ambayo ni jana sikwenda kazin na tangu hiyo juzi sikurudisha Simu kwa wife

Nilichati na kijana kwa simu ya wife nikamwambia tukutane, bro sikuamini macho yangu, nilienda kukutana na kitoto kidogo cha miaka kama 20, 21 hivi jirani yetu ambaye anakusanya pesa kibanda umiza tunapoangalia mpira.

Kaka kwanza amenisaliti, siyo kunisaliti tu kanisaliti kwa katoto nachoweza kukazaa, basi aliamua kunisaliti kwa kitoto si bora basi wangefanya tu kawaida, amefikia kuleta laana kwa kizazi changu ,siyo laana tu ameamua kunidedhehesha mtaani.

Bro kwahiyo juzi simba day nipo banda umiza yule dogo anakusanya hela kwangu ila kimoyomoyo ananing'onga tu.

Wakati nakutana na dogo nilikuwa na sime nilimwambia simama sehemu nakukuta kweli nilienda nikamkuta ila nilisimama pembeni kidgo kisha nikapita bila kuongea nae nilitamani nimfanye kitu kibaya kuna sauti ikanambia una watoto wanakutegemea ondoka nenda

Bro mpaka dakika hii kitu pekee nilichomwambia wife ni kwamba siangaiki kukuuliza huyu ni nani make utanidanganya ila ole wako umtafte umwambie kwamba nina simu yako kwahiyo mpk leo sijaongea na rafiki sijaongea na ndugu wala huyo dogo hajajua kama nimejua kwasabb bado anaendlea kuchati ila hajui anachati na mm akijua ni wife.

Naomba unisaidie wazo nifanye maamzi gani ambayo ni sahihi.
Dadda kanifurahisha huyoooo.....kakunyoosha mpk raha angek7wa jirani ningempa zawadi,wanaume mnatuumiza sana,akitokea mke shupavu km huyo nafurahi sana
 
Tatizo ulimuoa mke wako akiwa na miaka 19. Alikuwa bado hajamaliza mambo yake.
Pole...maisha ndivyo yalivyo
 
Back
Top Bottom