Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
alitumia mbini gani kwa sababu ukimzalisha kwa dizaid hio atakua ananyonyesha miaka 8 mfululizoB
Bado unakuwa hujamkomoa kaka kama unabisha niulize mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alitumia mbini gani kwa sababu ukimzalisha kwa dizaid hio atakua ananyonyesha miaka 8 mfululizoB
Bado unakuwa hujamkomoa kaka kama unabisha niulize mimi
Achana na huyo mke mkuu laana zingine ziepuke tu mapema kabla haijawa mbali sana 30yrs mbona ww bado unawexa oa chombp mpya kabisaMimi ni mtu mzima miaka 30 nina mke wa miaka 25 nina watoto 2 katika ndoa ya miaka 6 mpaka sasa.
Ndugu zanguni nina hasira nina hasira nina hasira sana Mungu tu anisimamie nisingie dhambini.
Kwa kifupi siku za hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita nilianza kuona manadiliko kwa mama watoto ila sikutilia maaanani kwasababu mm ni mtu mzima nina mengi ya kufanya siwezi kukaa kumfuatilia mwanamke muda wote yeye ni mtu mzima atajisimamia.
Yaani baada ya kuona hayo mabadiliko ndani ya miezi kadhaa. Kuna siku nilikuwa nyumbani sikwenda kazini, kama mida ya saa tatu asubuhi hivi kuna mtu nilikuwa natakuwasiliana nae ila dakika zangu ziliisha nikamwambia wife naomba hiyo simu yako nimpigie mtu mara moja akanipa.
Nikiwa na ile simu mkononi SMS iliingia namba ngeni lkn message iliyotumwa ilinistua kidogo nilipofungua ili niona kilichokuwa kinaendelea sikuona SMS zingine.nikamuuliza wife hii SMS inahusu nini na ninani huyu,alistuka ila akajikosha kwa kusema vijana wengine hawana adabu ngoja nimpigie mm staki ushenzi
Basi akapiga simu, ile inapokelewa tu hakusubiri hata huyo mtu azungumze alianza matusi WW KIJANA SMS GANI HIZI UNANITUMIA HUJUI MM NI MKE WA MTU NAOMBA TUHESHIMIANE NA UNIKOME KABISA SITAKI MAZOEA TENA UJISHIKILIE akakata simu.
Kama mtu mzima niligundua hawa watu walikuwa wanatongozana saiv anajikosha ila nikapotezea kwasabb mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida, nilichukuwa simu nikampigia niliyekuwa natakumpigia then nikamrudishia Simu yake.
Kaka siku zimeenda kufika usiku wa juzi mida ya saa Saba usiku SMS ikaingia kwa simu ya mke wangu nikastuka ile nageuka wife anazima mwanga wa simu afu anajifanya amesinzia ile nashika simu nakuta amekumbatia simu, nikamwambia naomba hiyo simu ananiuliza simu ya nn usiku huu baba fulani..nikachukuwa simu kwa nguvu
MKUSHI MKUSHI MKUSHI 😓😓sijui mwanamke alijua nimesinzia siwezi kustuka akawa anachati na mtu yuleyule wa kipindi cha nyuma tena pembeni yangu saa saba usiku.
Baadhi ya SMS zao ni kama hizi...
MWANAMUME: Mbona ulikuwaga unaogopa?
MKE WANGU: Weee kipindi kile nilikuwa naogopa kufanya nyuma😀
MWANAMUME: 😀😀😀Muone kwahiyo siku hizi umezoea?
MKE WANGU: Tena siku hizi usiponifanya nyuma sijiskii kama umani..😋
MWANAMUME: Angalia usije ukajisahau ukampa baba watoto
MKE WANGU: Subutuu halambi kitu hapa hii yako pekee 😀
Kaka mada ilikuwa ndefu niishie hapo (kumbuka hii simu anayotumia kunifanyia hivi mimi ndo nilimnunulia laki 6 na 80😓
Nilichoka nilitoka sebleni nililia kama mtoto kesho yake ambayo ni jana sikwenda kazin na tangu hiyo juzi sikurudisha Simu kwa wife
Nilichati na kijana kwa simu ya wife nikamwambia tukutane, bro sikuamini macho yangu, nilienda kukutana na kitoto kidogo cha miaka kama 20, 21 hivi jirani yetu ambaye anakusanya pesa kibanda umiza tunapoangalia mpira.
Kaka kwanza amenisaliti, siyo kunisaliti tu kanisaliti kwa katoto nachoweza kukazaa, basi aliamua kunisaliti kwa kitoto si bora basi wangefanya tu kawaida, amefikia kuleta laana kwa kizazi changu ,siyo laana tu ameamua kunidedhehesha mtaani.
Bro kwahiyo juzi simba day nipo banda umiza yule dogo anakusanya hela kwangu ila kimoyomoyo ananing'onga tu.
Wakati nakutana na dogo nilikuwa na sime nilimwambia simama sehemu nakukuta kweli nilienda nikamkuta ila nilisimama pembeni kidgo kisha nikapita bila kuongea nae nilitamani nimfanye kitu kibaya kuna sauti ikanambia una watoto wanakutegemea ondoka nenda
Bro mpaka dakika hii kitu pekee nilichomwambia wife ni kwamba siangaiki kukuuliza huyu ni nani make utanidanganya ila ole wako umtafte umwambie kwamba nina simu yako kwahiyo mpk leo sijaongea na rafiki sijaongea na ndugu wala huyo dogo hajajua kama nimejua kwasabb bado anaendlea kuchati ila hajui anachati na mm akijua ni wife.
Naomba unisaidie wazo nifanye maamzi gani ambayo ni sahihi.
Kwanza age ya 30 nikijana tuAchana na huyo mke mkuu laana zingine ziepuke tu mapema kabla haijawa mbali sana 30yrs mbona ww bado unawexa oa chombp mpya kabisa
Hii ndio dawa kwishaaasaiv ukishaoa ile miaka 7 ya mwanzon hakikisaha umemzalisha mwanamke watoto3 atulie kulea kwanza.
vinginevyo utachapiwa sana
.Kwanza age ya 30 nikijana tu
DuuuhUmetumia sana Busara mkuu. Kama utamsamehee bas anza kumla nyuma na ww. Bila hvyo ataenda kuliwa nyuma nje. Wadads na wamama wanapenda sana kuliwa nyuma
Kwa sasa watanzania tunapitia mazito makubwa sana kiongozi, hizi shida nazo zimeongeza mambo kuwa magumu wake za watu wanatafunwa.....Maana yake dogo katomb. Aaaaaah weee mpaka kaanza kula uharo na mke alivyo mshenzi anamwambia hii nakula wewe tu yule fala harambi hii , wallah unaweza kuua alafu polisi wakaja simple tu wivu wa kimapenzi kumbeee ni mazito mazito dharau kubwa sana hii
Chai.....LGBTQi mna mbinu za kupromoti mambo yenu kwa janja janja ya stori za kutungaMimi ni mtu mzima miaka 30 nina mke wa miaka 25 nina watoto 2 katika ndoa ya miaka 6 mpaka sasa.
Ndugu zanguni nina hasira nina hasira nina hasira sana Mungu tu anisimamie nisingie dhambini.
Kwa kifupi siku za hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita nilianza kuona manadiliko kwa mama watoto ila sikutilia maaanani kwasababu mm ni mtu mzima nina mengi ya kufanya siwezi kukaa kumfuatilia mwanamke muda wote yeye ni mtu mzima atajisimamia.
Yaani baada ya kuona hayo mabadiliko ndani ya miezi kadhaa. Kuna siku nilikuwa nyumbani sikwenda kazini, kama mida ya saa tatu asubuhi hivi kuna mtu nilikuwa natakuwasiliana nae ila dakika zangu ziliisha nikamwambia wife naomba hiyo simu yako nimpigie mtu mara moja akanipa.
Nikiwa na ile simu mkononi SMS iliingia namba ngeni lkn message iliyotumwa ilinistua kidogo nilipofungua ili niona kilichokuwa kinaendelea sikuona SMS zingine.nikamuuliza wife hii SMS inahusu nini na ninani huyu,alistuka ila akajikosha kwa kusema vijana wengine hawana adabu ngoja nimpigie mm staki ushenzi
Basi akapiga simu, ile inapokelewa tu hakusubiri hata huyo mtu azungumze alianza matusi WW KIJANA SMS GANI HIZI UNANITUMIA HUJUI MM NI MKE WA MTU NAOMBA TUHESHIMIANE NA UNIKOME KABISA SITAKI MAZOEA TENA UJISHIKILIE akakata simu.
Kama mtu mzima niligundua hawa watu walikuwa wanatongozana saiv anajikosha ila nikapotezea kwasabb mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida, nilichukuwa simu nikampigia niliyekuwa natakumpigia then nikamrudishia Simu yake.
Kaka siku zimeenda kufika usiku wa juzi mida ya saa Saba usiku SMS ikaingia kwa simu ya mke wangu nikastuka ile nageuka wife anazima mwanga wa simu afu anajifanya amesinzia ile nashika simu nakuta amekumbatia simu, nikamwambia naomba hiyo simu ananiuliza simu ya nn usiku huu baba fulani..nikachukuwa simu kwa nguvu
MKUSHI MKUSHI MKUSHI 😓😓sijui mwanamke alijua nimesinzia siwezi kustuka akawa anachati na mtu yuleyule wa kipindi cha nyuma tena pembeni yangu saa saba usiku.
Baadhi ya SMS zao ni kama hizi...
MWANAMUME: Mbona ulikuwaga unaogopa?
MKE WANGU: Weee kipindi kile nilikuwa naogopa kufanya nyuma😀
MWANAMUME: 😀😀😀Muone kwahiyo siku hizi umezoea?
MKE WANGU: Tena siku hizi usiponifanya nyuma sijiskii kama umani..😋
MWANAMUME: Angalia usije ukajisahau ukampa baba watoto
MKE WANGU: Subutuu halambi kitu hapa hii yako pekee 😀
Kaka mada ilikuwa ndefu niishie hapo (kumbuka hii simu anayotumia kunifanyia hivi mimi ndo nilimnunulia laki 6 na 80😓
Nilichoka nilitoka sebleni nililia kama mtoto kesho yake ambayo ni jana sikwenda kazin na tangu hiyo juzi sikurudisha Simu kwa wife
Nilichati na kijana kwa simu ya wife nikamwambia tukutane, bro sikuamini macho yangu, nilienda kukutana na kitoto kidogo cha miaka kama 20, 21 hivi jirani yetu ambaye anakusanya pesa kibanda umiza tunapoangalia mpira.
Kaka kwanza amenisaliti, siyo kunisaliti tu kanisaliti kwa katoto nachoweza kukazaa, basi aliamua kunisaliti kwa kitoto si bora basi wangefanya tu kawaida, amefikia kuleta laana kwa kizazi changu ,siyo laana tu ameamua kunidedhehesha mtaani.
Bro kwahiyo juzi simba day nipo banda umiza yule dogo anakusanya hela kwangu ila kimoyomoyo ananing'onga tu.
Wakati nakutana na dogo nilikuwa na sime nilimwambia simama sehemu nakukuta kweli nilienda nikamkuta ila nilisimama pembeni kidgo kisha nikapita bila kuongea nae nilitamani nimfanye kitu kibaya kuna sauti ikanambia una watoto wanakutegemea ondoka nenda
Bro mpaka dakika hii kitu pekee nilichomwambia wife ni kwamba siangaiki kukuuliza huyu ni nani make utanidanganya ila ole wako umtafte umwambie kwamba nina simu yako kwahiyo mpk leo sijaongea na rafiki sijaongea na ndugu wala huyo dogo hajajua kama nimejua kwasabb bado anaendlea kuchati ila hajui anachati na mm akijua ni wife.
Naomba unisaidie wazo nifanye maamzi gani ambayo ni sahihi.
HahaahaUlianza vizuri ila mwishoni umeharibu chai , umeweka greenlable pakti nzima hadi chai imekua chungu
Jamaa amejitahidi kutunga uongo but amekwama...yaani alitaka kuharibu sifa ya wake zetu kwa maslahi anayojua yeye.Mwishoni imekaa kimchongo kapata na nguvu za kwenda kuangalia mpira kwenye kibanda kinachosimamiwa na mume mwenzie!!! Pole yangu hapati
Mkuu na wewe unadanganyika kwa huu uongo wa wazi?Pole sana nimehuzunika sana ila jitahidi kuwa makin na mwanamke
Ni wapi huko Tanzania.Hiyo yako ndogo broo, kuna jirani yangu anamke na anaishi na shemeji yake, mke na shemeji yake wanashea bwana ambae in dereva wa boda.
Wewe nae sijui umekula maharage ya wapi wewe.Dadda kanifurahisha huyoooo.....kakunyoosha mpk raha angek7wa jirani ningempa zawadi,wanaume mnatuumiza sana,akitokea mke shupavu km huyo nafurahi sana
Kijana mwenzie huyo hamzai kabisa, tena kwa demu ni age mate kabisa kama usipouliza umri kwa miaka hiyo michache waliopishana.Kwahy kijana mwezie