Msaada wakuu nimepangiwa hge dah!!!!

No More Drama

Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
95
Reaction score
19
Salamu wana jf
nahitaji msaada nifanyeje kwa sababu nimepangiwa HGE wakati nina f ya maths itakuwaje? Na je mbeleni huko iyo f ya maths haitaniletea shida yani chuo kikuu? Na je nikienda kuisoma nikapata f ya BAM? *siombi iwe hivyo* siitaniletea shida kupata chuo? Mwisho je HGE na HGL ipi comb nzuri?

Nahitaji saaana ushauri wenu wana JAMIIFORUMS
 

jamani wakuu msaada wenu
 
Zote nzuri bt km una F ya number nenda then uombe kubadili combination inawezekana pia
 
hge nzuri! Ila duuh inaonekana huwezi math ila co kesi BAM haina penalt ila kwa chuo kuna baadhi ya kozi kwako itakuwa sahau
 
Dogo,kapge hge then ukomae na BAM ili upate s,ukisoma hge,egm,eca na pcm then ukafaulu kwa kiwango cha div 1 na 2 nakuhakikishia hutakaa ujute kabisa katika maisha yako yote.over
 
Dogo,kapge hge then ukomae na BAM ili upate s,ukisoma hge,egm,eca na pcm then ukafaulu kwa kiwango cha div 1 na 2 nakuhakikishia hutakaa ujute kabisa katika maisha yako yote.over

thanks kwa ushauri ntafikiria
 
Dogo acha uoga, BAM ni math ya kawaida kama ya Olevel ukienda kukomaa na topic zako chache tu nakuhakikishia utakuja hapa JF kutushukuru sababu HGE ni comb nzuri sana ipo ver flexible kwa kozi za chuo kuchukua, Mi binafsi nilisoma hiyo comb japo nilikuwa na F ya math olevel lakin hivi sasa nachekelea tu, achana na HGL utaambulia ualimu tu.
 

kwani hge haina ualimu? Nategemea baraka za HELSB familia yangu ipo chini kiuchumi ndugu yangu
 
Dogo,kapge hge then ukomae na BAM ili upate s,ukisoma hge,egm,eca na pcm then ukafaulu kwa kiwango cha div 1 na 2 nakuhakikishia hutakaa ujute kabisa katika maisha yako yote.over

Bwana perry kakupa ushauri ambao ndo suluhisho.kazana upate Bam S ambayo ni 25 marks tu,nimesoma na watu waliopata F za math walikuwa hawajui hesabu lakn walipata S tena ata Udsm ukipata S advance wanakuchukua kwa account,economics.,KIJANA UKISOMA ECONOMICS UTAPATA MAMBO ADIMU NeNDA TU..KWANI WE UNATAKA KUSOMA NINI CHUO?
 
Dogo,kapge hge then ukomae na BAM ili upate s,ukisoma hge,egm,eca na pcm then ukafaulu kwa kiwango cha div 1 na 2 nakuhakikishia hutakaa ujute kabisa katika maisha yako yote.over

duuh me nimesoma EGM! lakn PCB na PGM naziheshimuu coz anayesma hzo comb na akafaulu anakuwa na wgo mpna! Vp perry mbna hukuzitaja hapo juu, au umesahau/umepitiwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…