No More Drama
Member
- Jun 2, 2013
- 95
- 19
Salamu wana jf
nahitaji msaada nifanyeje kwa sababu nimepangiwa HGE wakati nina f ya maths itakuwaje? Na je mbeleni huko iyo f ya maths haitaniletea shida yani chuo kikuu? Na je nikienda kuisoma nikapata f ya BAM? *siombi iwe hivyo* siitaniletea shida kupata chuo? Mwisho je HGE na HGL ipi comb nzuri?
Nahitaji saaana ushauri wenu wana JAMIIFORUMS
nahitaji msaada nifanyeje kwa sababu nimepangiwa HGE wakati nina f ya maths itakuwaje? Na je mbeleni huko iyo f ya maths haitaniletea shida yani chuo kikuu? Na je nikienda kuisoma nikapata f ya BAM? *siombi iwe hivyo* siitaniletea shida kupata chuo? Mwisho je HGE na HGL ipi comb nzuri?
Nahitaji saaana ushauri wenu wana JAMIIFORUMS