kelvito
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 386
- 100
Nisaidieni wakuu, nina mgeni toka China alikuwa na kibali cha tourist cha miezi 3, Bado hakijaisha but amebakisha kama siku kumi, nataka aendelee kuwepo yaani aongeze mda wa kukaa mwenye kujua process zake nisaidieni kabla mda wake haijaisha.
natanguliza shukrani zangu!
natanguliza shukrani zangu!