Msaada wakuu..!!

Msaada wakuu..!!

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
Samahani kwa nitakaowakwaza kwa ujumbe wangu,lakini hili ni tatizo ambalo nimekuwa nalo maisha yangu yote tokea nianze kufanya mapenzi yapata miaka 20 sasa.

Tatizo langu ni kuchelewa sana kufikia kilele wakati wa majambo mpaka inafikia mwenza wangu analalamika kwa muda ninaotumia.Kwa kawaida ile first round huwa natumia dk 30 na kuendelea wakati mwingine nafika mpaka 45.

Niliwahi kwenda hospitali muhimbili nikamuona mtaalamu akanieleza kuwa huo sio ugonjwa ila nishukuru kwa kubarikiwa maana wengine ni kinyume.

Nikamuona tena dokta katika nchi moja ya Ulaya magharibi yeye aliniambia anataka kuhakikisha ndio ataweza kunisaidia,nikakimbia.Sasa kwa imani niliyonayo hapa JF nina uhakika hakuna linalokosa majibu,na ninaomba kwa heshima na taadhima mwenye ufahamu wa kuweza kumfanya mwanaume awahi kidogo anisaidie ili niondokane na adhabu hii niliyonayo.

Natanguliza shukrani zangu.
 
Samahani kwa nitakaowakwaza kwa ujumbe wangu,lakini hili ni tatizo ambalo nimekuwa nalo maisha yangu yote tokea nianze kufanya mapenzi yapata miaka 20 sasa.Tatizo langu ni kuchelewa sana kufikia kilele wakati wa majambo mpaka inafikia mwenza wangu analalamika kwa muda ninaotumia.Kwa kawaida ile first round huwa natumia dk 30 na kuendelea wakati mwingine nafika mpaka 45.Niliwahi kwenda hospitali muhimbili nikamuona mtaalamu akanieleza kuwa huo sio ugonjwa ila nishukuru kwa kubarikiwa maana wengine ni kinyume.Nikamuona tena dokta katika nchi moja ya Ulaya magharibi yeye aliniambia anataka kuhakikisha ndio ataweza kunisaidia,nikakimbia.Sasa kwa imani niliyonayo hapa JF nina uhakika hakuna linalokosa majibu,na ninaomba kwa heshima na taadhima mwenye ufahamu wa kuweza kumfanya mwanaume awahi kidogo anisaidie ili niondokane na adhabu hii niliyonayo.Natanguliza shukrani zangu.

Naona wewe hata huelewi. Soma na tafakari tena na tena ushauri wa huyo dokta..

Kila mtu anakushangaa jinsi unavyotaka kuharibu novel trait..Ungekuwa mmea ingebidi ukae kwenye green house yenye ulinzi 24/7 kama faru wa Serengeti.

Hata hivyo utaelewa maana siku ukionja adha ya upande wa pili. Naona unahamu kama ya mbuzi kutamani kuwa kondoo!

Best wishes,

Babu DC
 
Haya wadau kazi kwenu maana mlikuwa mnashughulikia yule wa sekunde tatu (voda fasta) ili angalau afikishe japo dk1.

Mwenzetu Mtakatifu PM anataka spidi gavana, sijui alitumia mkuyati kupitiliza!!!

Ushauri wangu wala usipunguze, kama hujaoa tafuta mdada mwenye pumzi kama wewe ili ukipiga 45min anakwambia kwa sauti ya mahaba "mbona umemaliza haraka hivyoooo". Huyo atakupa morali ya kupafomu even better.

Wasi wasi wangu ni pale utapewa dawa badala ya ku-regulate ukajikuta hali inakuwa kinyume chake.
Mshukuru Mungu kwa kile ulichonacho yatosha.
 
Du! Paka 30 to 45 min! samahani kwa kushangaa huku nikiwa sina ushauri. Natumaini humu msaada lazima upatikane.
 
Samahani kwa nitakaowakwaza kwa ujumbe wangu,lakini hili ni tatizo ambalo nimekuwa nalo maisha yangu yote tokea nianze kufanya mapenzi yapata miaka 20 sasa.Tatizo langu ni kuchelewa sana kufikia kilele wakati wa majambo mpaka inafikia mwenza wangu analalamika kwa muda ninaotumia.Kwa kawaida ile first round huwa natumia dk 30 na kuendelea wakati mwingine nafika mpaka 45.Niliwahi kwenda hospitali muhimbili nikamuona mtaalamu akanieleza kuwa huo sio ugonjwa ila nishukuru kwa kubarikiwa maana wengine ni kinyume.Nikamuona tena dokta katika nchi moja ya Ulaya magharibi yeye aliniambia anataka kuhakikisha ndio ataweza kunisaidia,nikakimbia.Sasa kwa imani niliyonayo hapa JF nina uhakika hakuna linalokosa majibu,na ninaomba kwa heshima na taadhima mwenye ufahamu wa kuweza kumfanya mwanaume awahi kidogo anisaidie ili niondokane na adhabu hii niliyonayo.Natanguliza shukrani zangu.

Paka pilipili wakati wa ku-do.
 
Mkuu hilo la nusu saa mpaka 45 mins ni another story lakini...

Hili usimchoshe mwenza wako mnaweza mkaongeza muda wa foreplay akuchezee wewe mpaka uwe ready kabisa na yeye hii itamfanya awe ready....am sure hii itasaidia sana ku-avoid michubuko na maumivu....

Thanks and Happy Valentine Mkuu
 
Ndugu,

Naungana na Daktari huo sio ugonjwa,na penda kukuuliza kaji swali je wewe umeoa,na kama hujaoa hilo tendo unaiba ndio maana hupati muda wa kutulia na mwezi wako wa kufanya romance,iliuwe tayari,kwa hiyo unatatizo la kisaikolojia.Hofu,maishaka,maana tendo la ndoa lina mahusiano na akili,pia weka mawazo yako kwenye hiyo shughuli,uziwazie mambo mengine.Vinginevyo kukaa kwa muda mrefu kunasababisha michubuko then MAAMBUKIZI ya UKIMWI
 
Naona wewe hata huelewi. Soma na tafakari tena na tena ushauri wa huyo dokta..

Kila mtu anakushangaa jinsi unavyotaka kuharibu novel trait..Ungekuwa mmea ingebidi ukae kwenye green house yenye ulinzi 24/7 kama faru wa Serengeti.

Hata hivyo utaelewa maana siku ukionja adha ya upande wa pili. Naona unahamu kama ya mbuzi kutamani kuwa kondoo!


Best wishes,

Babu DC





The Following User Says Thank You Hundred Times to Dark City For This Useful Post:

St. Paka Mweusi (Today)​
 
Mkuu hilo la nusu saa mpaka 45 mins ni another story lakini...

Hili usimchoshe mwenza wako mnaweza mkaongeza muda wa foreplay akuchezee wewe mpaka uwe ready kabisa na yeye hii itamfanya awe ready....am sure hii itasaidia sana ku-avoid michubuko na maumivu....

Thanks and Happy Valentine Mkuu




Mkuu hiyo nimeshajaribu lakini haijawahi kunisaidia..........
 
Eti uweke pilipili, ha ha ha!!!
Lakini hiyo ya VOICE nahisi ni nzuri pia.
Ningekuwa mi ndo St. Pakamweusintino wako ningeitumia vizuriiiiiiiiii!!!




Usihofu mama kwani siku hazifanani...........
 
Mkuu hiyo nimeshajaribu lakini haijawahi kunisaidia..........
Mkuu kama unatumia 45 minutes am sure foreplay ikiwa 40 mins lazima itasaidia.., yaani foreplay ya ukweli na sio
Hello......... 😛opcorn:😛opcorn:.........see you later
 
Back
Top Bottom